Elections 2015 CCM kumtumia Dr. Shika kwenye kampeni ni aibu kubwa!

matumbo joto yan cdm hamlambi hata kata moja
Inawezekana aisee kwa jinsi mlivyo anza utekaji kweli polisi lazima wawape ushindi tena kwa kata zote 43 na wataongezea na mbili za ziada maana ccm bila polisi hakika uchaguzi unawashinda sana
 
Dr Shika ni tapeli aliyeharibu mnada halali wa kuuza mali ya fisadi Lugumi mkwepa kodi aliyeikosesha serikali mapato.

Tapeli huyu ambaye alipaswa kuwa Segerea, kupanda jukwaani kumnadi mgombea udiwani wa CCM ni aibu kubwa kwa chama tawala na inaonesha ni jinsi gani chama hicho kina ukaribu na mahusiano na mafisadi na matapeli wa nchi hii mpaka kufikia kuwatumia kuwanadi wagombea wake!

Shame on you CCM!
Mwenyekiti wa chadema ni tapeli na fisadi, mtu asiyelipa kodi mabilioni na mabilioni ambayo yangeboresha huduma za kijamii ni tapeli. Ni.aibu kubwa sana chama kuendelea kumkumbatia tapeli huyu.
 
Haya nayo ni mawazo mfu!! sasa hilo nalo ni la kushikia bango!!!!

unaanzaje kumwambia mtu tapeli wakati hajawahi hata kumtapeli ndugu yako hata mmoja!!!
 
Nyumba za jk haziwezi uzwa kwa mnada Dr shika anajua anachofanya. Muulize jpm ameshindwa nini kuziuza au kuzitaifisha?
 
View attachment 638760

Dr Shika ni tapeli aliyeharibu mnada halali wa kuuza mali ya fisadi Lugumi mkwepa kodi aliyeikosesha serikali mapato.

Tapeli huyu ambaye alipaswa kuwa Segerea, kupanda jukwaani kumnadi mgombea udiwani wa CCM ni aibu kubwa kwa chama tawala na inaonesha ni jinsi gani chama hicho kina ukaribu na mahusiano na mafisadi na matapeli wa nchi hii mpaka kufikia kuwatumia kuwanadi wagombea wake!

Shame on you CCM!
CCM bila watu kama hao nani atahudhuria mikutano yao ?
 
Back
Top Bottom