- Thread starter
- #21
Wazo zuri. Pia kama kuna uwezekano picha za video zitasaidia saidi.Sasa hivi nimempigia simu kiongozi wa CDM katika kampeni huko Igunga na kumpa wazo hilo, na amesema ataliwakilisha kwa wenzake ili waone kama itafaa nao kutumia picha za wajawazito wanaodhalilishwa katika nchi yao yenye utajiri mkubwa.
Kukiwa na uwezo wa kutengeneza documentary yenye kuonyesha ukweli (comparing Anasa za CCM na matatizo ya wananchi hasa akina mama) halafu wasambaziwe wananchi. Wakati wa campaign wawaonyeshe wananchi, at least 20min Documentary ni njia nzuri sana na vile vijijini vitu kama Video or Cinema ni buridani itakuwa ni njia nzuri kuwaonyesha ukweli. Mana I think wakati mwingine wananchi ya vijijini hawapati picha wanapoelezwa CCM wanafuja mali. Sina uhakika mtu wa kijijini, anayepata chini ya $1 kwa siku anaweza kupata idea ukimwambia mtu kala Tzs 1billion..... mana hakuna mtu aliyewahi kuhesabu hata hiyo Millioni, so kwa wao picha zinaweza kuwafungua macho wakaona ukweli.
Unajua CDM wanaweza hata wasiongee sana, waki-display hizo video then wawaachie wananchi waamue wanamtaka nani!