Azimio Jipya
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 3,362
- 1,131
Nguvu au Udhaifu wa vyama viwili,CCM na CHADEMA vinavyochuana kuingia ikulu iko kwenye kashfa nzima ya EPA na yote yaliyojiri kwa CCM kuingia madarakani kwa kipindi kilichopita.
Ni jinsi kila chama kati ya hivi kitakavyocheza karata yake kuhusiana na Kashfa hii ndiko kutaamua mshindi wa uchaguzi wa sasa.
CCM .... wafanye nini ili kutumia kashfa hii kama nguvu yake ya ushindi? Au Udhaifu wake?
1........
2........
3........KUKIRI HADHARANI KUTAIFANYA CHADEMA ISIWE NA HOJA TENA!!!
4........ KUTUMIA VYOBO VYA DOLA KUNYAMAZISHA CHADEMA!!
5........ KUTOKUJIBIZANA KWANI IKO MAHAKAMANI...NK
CHADEMA wafanye nini ili kutumia kashfa hii kama nguvu yake ya ushindi? Au Udhaifu wake?
1. .....
2.......
3....... ISITAJE MAJINA YA WASHUKIWA MOJA KWA MOJA
4....... WASIITUMIE KUJENGEA HOJA KWANI IKO MAHAKAMANI
5....... WASIITUMIE KWANI ITAFANYA KAMPENI KUWA ZA JAZBA .....NK
NINI KIFANYIKE KWA KILA CHAMA?
Ni jinsi kila chama kati ya hivi kitakavyocheza karata yake kuhusiana na Kashfa hii ndiko kutaamua mshindi wa uchaguzi wa sasa.
CCM .... wafanye nini ili kutumia kashfa hii kama nguvu yake ya ushindi? Au Udhaifu wake?
1........
2........
3........KUKIRI HADHARANI KUTAIFANYA CHADEMA ISIWE NA HOJA TENA!!!
4........ KUTUMIA VYOBO VYA DOLA KUNYAMAZISHA CHADEMA!!
5........ KUTOKUJIBIZANA KWANI IKO MAHAKAMANI...NK
CHADEMA wafanye nini ili kutumia kashfa hii kama nguvu yake ya ushindi? Au Udhaifu wake?
1. .....
2.......
3....... ISITAJE MAJINA YA WASHUKIWA MOJA KWA MOJA
4....... WASIITUMIE KUJENGEA HOJA KWANI IKO MAHAKAMANI
5....... WASIITUMIE KWANI ITAFANYA KAMPENI KUWA ZA JAZBA .....NK
NINI KIFANYIKE KWA KILA CHAMA?