KITENGE KOFIA
Member
- Oct 14, 2012
- 35
- 24
Habari zilizopo ndani ya CCM Arusha zinadai kuwa muda si mrefu CCM ikiongozwa na mwenyekiti wao watatumia mwanya wa kufanya sherehe kwa mji wa Arusha kuwa jiji na kukabiziwa barabara kama njia ya kuwavutia wenyeji wa Arusha.
Inasemekana kuwa siku hiyo kutachinjwa ng'ombe wa kutosha mnajua wenyewe zitatoka kwa nani,ni hapo kwa rich wa monduli..mambo yote itakuwa hapo shekh amr abeid
karibuni muda utakapotangazwa,tutawajulisha
Inasemekana kuwa siku hiyo kutachinjwa ng'ombe wa kutosha mnajua wenyewe zitatoka kwa nani,ni hapo kwa rich wa monduli..mambo yote itakuwa hapo shekh amr abeid
karibuni muda utakapotangazwa,tutawajulisha