Ccm kuingia Arusha muda si mrefu

yani sisi watu wa arusha hata kama ingekua ni JK anaendesha yale Makatapiller yakujenga barabara chama kilichopo mioyoni mwetu ni chadema tuuuu... HATUDANGANYIKI

Hahahaha! Ndio maana nawapenda sana wanaArusha wote.
 
Oh!The dead ccm!wanakuja kujizika kabisa!RIP THE OLD ROTTEN PARTY!THE WALKING DEAD.
 
Wana Arusha! Kuleni nyama zote mkishindwa nyingine pelekeni nyumbani. Hiyo ni kodi yenu. Mwisho wa siku ninawaomba kama mlikuwa mmeichimbia CCM kaburi la meta sita, nendeni mkaongeze ziwe meta kumi na mbili ili isikae ijipindue upande wa pili. Inastahili kuozea ubavu mmoja tu! Hongereni wana Arusha! Hongera Mr. Lema kwa kusimama kidete pamoja na vitisho ambavyo CCM imeifanyia Arusha hadi dakika hii!
 
Wana Arusha! Kuleni nyama zote mkishindwa nyingine pelekeni nyumbani. Hiyo ni kodi yenu. Mwisho wa siku ninawaomba kama mlikuwa mmeichimbia CCM kaburi la meta sita, nendeni mkaongeze ziwe meta kumi na mbili ili isikae ijipindue upande wa pili. Inastahili kuozea ubavu mmoja tu! Hongereni wana Arusha! Hongera Mr. Lema kwa kusimama kidete pamoja na vitisho ambavyo CCM imeifanyia Arusha hadi dakika hii!

Kuna watu wanatoka maeneo yanayoitwa "njia ya vumbi" ingawa siku hizi hakuna vumbi,wataletwa wengi sana zaidi ya uzinduzi wa Arumeru.Kwa ujumla itawasaidia CCM huko nji aya vumbi.Ila wakikosea watajikuta wakiwaletawa tu waje fundishwa ichukia CCM.
 
yani sisi watu wa arusha hata kama ingekua ni JK anaendesha yale Makatapiller yakujenga barabara chama kilichopo mioyoni mwetu ni chadema tuuuu... HATUDANGANYIKI

mkuu godwinnko hata kikwete angeshika sururu beleshi jembe ndiyo atengeneze barabara hata atoe tamko ikulu inahamia arusha na yeye na familly yake arusha ni ya chadema arusha niya Lema mbaka asema sitaki au nimechoka maana chuki kubwa ya ccm arusha ni Lema kila mwana ccm ninaye muhoji wanasema tunajua aruha ni ya chadema ila hawamtaki Lema
 
E.L atagombea urais. Jimbo lake litakwenda kwa nani na bado urais anakosa?
 
Eti wanakuja hapa A town??


Hawa hawajui kusoma alama ya nyakati nini????
Hata wangeongozana na Kawawa+jk+mkapa!
Hakika hapa wataambulia manyoa tu!
 
nitakuwepo kula nyama.. other factors will remain to be constant!
 
Habari zilizopo ndani ya CCM Arusha zinadai kuwa muda si mrefu CCM ikiongozwa na mwenyekiti wao watatumia mwanya wa kufanya sherehe kwa mji wa Arusha kuwa jiji na kukabiziwa barabara kama njia ya kuwavutia wenyeji wa Arusha.

Inasemekana kuwa siku hiyo kutachinjwa ng'ombe wa kutosha mnajua wenyewe zitatoka kwa nani,ni hapo kwa rich wa monduli..mambo yote itakuwa hapo shekh amr abeid


karibuni muda utakapotangazwa,tutawajulisha

kama ni sherehe poa sana.....nitakuwepo na nitacheza rhumba mpaka liamba.....mradi sio kura.....
 
Kwa sasa tunajishuhulisha na ujenzi wa jiwe la msingi karibu na jengo jipya la nssf pale roundabout,,,,,karibu ccm karibu kikwete
 
Back
Top Bottom