Arushaone
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 15,135
- 13,254
yani sisi watu wa arusha hata kama ingekua ni JK anaendesha yale Makatapiller yakujenga barabara chama kilichopo mioyoni mwetu ni chadema tuuuu... HATUDANGANYIKI
Hahahaha! Ndio maana nawapenda sana wanaArusha wote.