Ili kukabiliana na pesa chafu, CCM inakusudia kuanzisha makampuni au kununua hisa kwenye makampuni ya biashara.
Hii ni kwa mujibu wa Peter Kisumo(mwenyekiti wa baraza la wadhamini).
My take:
Watuambie kwanza nani aliiua SUKITA na kachukuliwa hatua gani?
Hii ni kwa mujibu wa Peter Kisumo(mwenyekiti wa baraza la wadhamini).
My take:
Watuambie kwanza nani aliiua SUKITA na kachukuliwa hatua gani?