mchezo mbaya
JF-Expert Member
- Feb 11, 2017
- 242
- 235
Demokrasia na utawala wa sheria umebakwa.
Kwenye bongo zao kumejaa mavi.Hizi habari wanazikanusha haraka, lakini zile za msingi wanasema hawafanyii kazi udaku wa mitandaoni.
Hapo ndipo utajua akili ya viongozi wa tanzania ilivyo.
Kwani aliyekuwa anapinga cheo cha ukuu wa wilaya ni nani na nani akakubali kuteuliwa kuwa mkuu wa wilaya?Kwahiyo Polepole ndio amekuwa muongo kwa kiasi hiki au? Maana kama mmutano uliandaliwa namna hii halafu yeye kusema anashangaa ni unaa mmubwa huo.
Au yuko Hong Kong kuyatilia Shehena zakeTumekuwa tunapokea simu nyingi kutoka kwa waandishi wa habari, na pia kuna wengine wamefika mpaka ofisini, kuuliza au kuja kuhudhuria kikao baina yao na Katibu Mkuu wa CCM, Komredi Abdulrahman Kinana, asubuhi hii.
Napenda kuwafahamisha kwamba hata sisi wenyewe tumesoma tu tangazo hilo kwenye moja kati ya post za humu, hivyo naomba msihangaike nalo kwa sababu ni uzushi.
Katibu Mkuu mwenyewe yupo safarini nje ya nchi karibu wiki nzima hii.
Nawasilisha kwenu kwa taarifa sahihi.
Charles Charles
Idara ya Itikadi na Uenezi
Tarehe 24 Machi, 2017
Endelea kuota tutakuamshaSijaona Chama cha kuongoza Tanzania zaidi ya CCM.... maana CUF ni CCM, CAHADEMA ni CCM na vidagaa woteee
Tumekuwa tunapokea simu nyingi kutoka kwa waandishi wa habari, na pia kuna wengine wamefika mpaka ofisini, kuuliza au kuja kuhudhuria kikao baina yao na Katibu Mkuu wa CCM, Komredi Abdulrahman Kinana, asubuhi hii.
Napenda kuwafahamisha kwamba hata sisi wenyewe tumesoma tu tangazo hilo kwenye moja kati ya post za humu, hivyo naomba msihangaike nalo kwa sababu ni uzushi.
Katibu Mkuu mwenyewe yupo safarini nje ya nchi karibu wiki nzima hii.
Nawasilisha kwenu kwa taarifa sahihi.
Charles Charles
Idara ya Itikadi na Uenezi
Tarehe 24 Machi, 2017
Wewe endelea kujitia madole harufu nusa kama utasikia harufu ya pilau.Jf imeingiliwa na SHILAWADU. Imekuwa jalala na sehemu ya hovyo mno. Labda tuwaulize Jf, hii post ilivyoletwa hapa mlijidhihirisha vipi juu ya hili la Kinana ama mlichukua hatua gani kujua kama kweli kilichopositiwa kilikuwa ni kweli? Mmepoteza credibility na mnastahili kufungiwa hata nyie. Haiwezekani mkajiita moderators halafu mnageuka kuwa chaos katika jamii. You must be held accountable
Makonda lazima awanyooshe, mlizoe ma-RC mnaokunywa nao mvinyo
Kwani angeongea nini?? Hana kipya ambacho angeongeaDuuh, itakua alikuwa anataka kumchana Mkulu makavu live.
Kama hakuna mngemuacha aongee.Kwani angeongea nini?? Hana kipya ambacho angeongea
Usifurahia huu upuuzi na udhalimu maana wewe unayejidhania uko salama HUTAPONA MBELE YA DICTETA UCHWARA.Kazuiwa huyo, kweli Sizonje kiboko ila nafurahia sana anavyowasomesha namba CCM
Taharuki gani wewe [HASHTAG]#Bashite[/HASHTAG]? Huoni hilo bandiko la kigazeti chenu cha kufungia maandazi [HASHTAG]#HabariLeo[/HASHTAG]?Tuna kila sababu sasa kutilia shaka ukweli wa threads zinazochapishwa mitandaoni, kwani wafitini na wachonganishi wamedhamiria kutibua Amani na utulivu wa nchi, badala ya kukosa agenda kuntu wakati huu!....Kila taarifa inayotolewa kabla ya kuiamini tuipime kwa kuangalia jina na cheo cha mtoa habari hiyo, na uhakika na uhalali wa chanzo cha maelezo yake. Vinginevyo tutaingizwa mkenge na kusababisha taharuki isiyo kuwa na sababu.
Kazuiwa huyo, kweli Sizonje kiboko ila nafurahia sana anavyowasomesha namba CCM