CCM katika ndimi mbili na kutapatapa

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,243
34,899
Chama cha Mapinduzi CCM kupitia wenyeviti wake wa mikoa, kinafanya ziara wanazoziita "Kukagua Miradi ya Maendeleo na Kuwashukuru Wananchi" na katika shughuli hiyo, wanaweka mikutano na kuzungumza na wananchi katika maeneo hayo.

Mikutano ya kisiasa ya vyama vya mbadala inapigwa marufuku na kupingwa vikali, hizi ni double standards... Vitendo hivi tukiviita Ubakaji wa Demokrasia mnasema tumekosea....

Tanzania ielekezwako yajua yenyewe...
 
Ccm ndio vidume.... Uliona wapi katika familia baba na mama wote wakawa na ndevu? Hiyo familia itakalika?
 
Chama cha Mapinduzi CCM kupitia wenyeviti wake wa mikoa, kinafanya ziara wanazoziita "Kukagua Miradi ya Maendeleo na Kuwashukuru Wananchi" na katika shughuli hiyo, wanaweka mikutano na kuzungumza na wananchi katika maeneo hayo.

Mikutano ya kisiasa ya vyama vya mbadala inapigwa marufuku na kupingwa vikali, hizi ni double standards... Vitendo hivi tukiviita Ubakaji wa Demokrasia mnasema tumekosea....

Tanzania ielekezwako yajua yenyewe...
Kuwashukuru wananchi ni tofauti na maandamano ya kupinga tv kutooneshwa live
 
MIMI nahofia ile HALI ya kuvamia vituo vya POLISI na Kupora SILAHA kujirudia HIVI karibuni nawaomba walinzi wetu wa amani penye haki watende haki.

Mmh,mkuu angalia wasije wakasema unachochea watu wavamie ivyo vituo vyao, yote kwa yote kuwa upinzani nchi za Africa yataka moyo
 
Chama cha Mapinduzi CCM kupitia wenyeviti wake wa mikoa, kinafanya ziara wanazoziita "Kukagua Miradi ya Maendeleo na Kuwashukuru Wananchi" na katika shughuli hiyo, wanaweka mikutano na kuzungumza na wananchi katika maeneo hayo.

Mikutano ya kisiasa ya vyama vya mbadala inapigwa marufuku na kupingwa vikali, hizi ni double standards... Vitendo hivi tukiviita Ubakaji wa Demokrasia mnasema tumekosea....

Tanzania ielekezwako yajua yenyewe...
CCM KINAISHI KWA KUBEBWABEBWA TU
 
Back
Top Bottom