Wanajanvi,
Habari za uhakika nilizonazo, CCM Imeweka kambi ya vijana mabunsa zaidi ya 200 huko Kiomboi Singida kuwaanda kwa ajili ya kuvuruga na kufanya vurugu kwenye mikutano ya wapinzani Igunga.
Hii ni baada ya kuona upepo umekaa vibaya na CCM inaelekea kushindwa uchaguzi huo, wameamua ku-invest kwenye maandalizi ya kufanya vurugu, kupiga na hata kuua watu kwenye maeneo ambayo upinzani utaonekana kuwa na nguvu ili kuwatisha wanaIgunga.
My. take
Ukweli haujawahi kushindwa na mwamko uliopo Tz sasa ni mpango wa Mungu, kamwe nguvu ya umma haijawahi kushindwa kwa nguvu ya mtutu na risasi.
Habari za uhakika nilizonazo, CCM Imeweka kambi ya vijana mabunsa zaidi ya 200 huko Kiomboi Singida kuwaanda kwa ajili ya kuvuruga na kufanya vurugu kwenye mikutano ya wapinzani Igunga.
Hii ni baada ya kuona upepo umekaa vibaya na CCM inaelekea kushindwa uchaguzi huo, wameamua ku-invest kwenye maandalizi ya kufanya vurugu, kupiga na hata kuua watu kwenye maeneo ambayo upinzani utaonekana kuwa na nguvu ili kuwatisha wanaIgunga.
My. take
Ukweli haujawahi kushindwa na mwamko uliopo Tz sasa ni mpango wa Mungu, kamwe nguvu ya umma haijawahi kushindwa kwa nguvu ya mtutu na risasi.