Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,330
- 33,958
- Thread starter
- #21
nygax CCM inakubali kila kitu kinacholetwa na chama hicho na kukataa kila kitu kinacholetwa na vyama vingine, na hii haikuanza leo bali ni tangu mwaka 1992, na bahati mbaya wakati mwingine CCM hutumia nguvu za dola kupingana na mawazo ya vyama vingine.
Turudi kwenye mada: Kama huo uchafu wote unaodai unasafishwa na Magufuli ulisababishwa na CCM iwepo madarakani ni kwa nini CCM ipate uhalali wa kutawala wakati kila ikiwa madarakani inasababisha tatizo?
umewahi kuwazia ni kiashi gani cha fedha tulitumia kwenye tume ya Jaji Warioba na kila kitu kilichomo kikakataliwa na CCM huku Warioba ambaye pia ni Mwana CCM mwenzenu akikaa kimya kama vile hakuna kitu kilichotokea?
Turudi kwenye mada: Kama huo uchafu wote unaodai unasafishwa na Magufuli ulisababishwa na CCM iwepo madarakani ni kwa nini CCM ipate uhalali wa kutawala wakati kila ikiwa madarakani inasababisha tatizo?
umewahi kuwazia ni kiashi gani cha fedha tulitumia kwenye tume ya Jaji Warioba na kila kitu kilichomo kikakataliwa na CCM huku Warioba ambaye pia ni Mwana CCM mwenzenu akikaa kimya kama vile hakuna kitu kilichotokea?