spencer
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 3,599
- 3,220
GreatThinkers,
Mapema kabla ya kuanza kampeni niliwaletea thread niliyoipa jina la Kauli toka Igunga' Tope katika maji halisafishwi kwa grisi, Kwa maana contamination huongezeka.
Watu wanajiuliza, Hivi wanaompigia kampeni Dr. Kafumu ni CCM ipi? Iwapo hata Rostam Fisadi naye kashiriki kumnadi????
Nimeshuhudia Kampeni za CDM zinajaaa watu makini, vijana na watu wanaotaka kupata msimamizi na mwakilishi wao Bungeni, hawataki mtu wa kwenda kupiga mabenchi na kupitisha hoja, wanamta Kashindye wa CDM
CCM.A inapata pata vikongwe na watoto wadogo wadogo walio kati ya miaka 4-12 hakika wala si wapiga kura
CCM.B inapata watu rika la kati wachache ambao hata hivyo hawajaamua kwa wabaki au wapigie CDM, CCM.B imechanganyikiwa inashindwa kujenga hoja Inaogopa kuishupalia CCM.A kwa sababu ni mwambata, inashindwa kuishambulia CDM kwa sababu nguvu ya Umma itawaona kweli wao CCM.B
CCM Iko hoi Igunga, ni kama Mgonjwa anayepumua kwa mashine halafu anajaribu kukohoa, Wameshakufa kimebaki kivuli. CCM hawapo hai namaanisha kishneeeeey.
Mapema kabla ya kuanza kampeni niliwaletea thread niliyoipa jina la Kauli toka Igunga' Tope katika maji halisafishwi kwa grisi, Kwa maana contamination huongezeka.
Watu wanajiuliza, Hivi wanaompigia kampeni Dr. Kafumu ni CCM ipi? Iwapo hata Rostam Fisadi naye kashiriki kumnadi????
Nimeshuhudia Kampeni za CDM zinajaaa watu makini, vijana na watu wanaotaka kupata msimamizi na mwakilishi wao Bungeni, hawataki mtu wa kwenda kupiga mabenchi na kupitisha hoja, wanamta Kashindye wa CDM
CCM.A inapata pata vikongwe na watoto wadogo wadogo walio kati ya miaka 4-12 hakika wala si wapiga kura
CCM.B inapata watu rika la kati wachache ambao hata hivyo hawajaamua kwa wabaki au wapigie CDM, CCM.B imechanganyikiwa inashindwa kujenga hoja Inaogopa kuishupalia CCM.A kwa sababu ni mwambata, inashindwa kuishambulia CDM kwa sababu nguvu ya Umma itawaona kweli wao CCM.B
CCM Iko hoi Igunga, ni kama Mgonjwa anayepumua kwa mashine halafu anajaribu kukohoa, Wameshakufa kimebaki kivuli. CCM hawapo hai namaanisha kishneeeeey.