Tony Almeda
JF-Expert Member
- Sep 18, 2011
- 397
- 122
Ni kwa muda mrefu sasa sijakisikia hiki cheo, wala sijamsikia mheshimiwa Tambwe Hizza aliekuwa na hiki cheo cha mkurugenzi wa PROPAGANDA wa chama cha mapinduzi.
Je CCM mmejishtukia na kikifuta hiki cheo cha uongo uliokubuhu? na Tambwe Hizza yuko wapi?
Je CCM mmejishtukia na kikifuta hiki cheo cha uongo uliokubuhu? na Tambwe Hizza yuko wapi?