CCM, Chadema na wanasiasa kwa ujumla nani baina yao hanywi damu yetu watanzania??

gesi haitoki hata kwa bomba la pen, kumbe ulitaka kuwaumiza wenzako tu, mnafiki mkubwa wewe. kumbe ulimaanisha gesi ya tumboni mwako
shame on you

Kashfa ni jadi ya wahuni na wasio jitambua. Na hoja ni kipimo cha busara.
Sasa mi nakushauri uhame kwenye hio kambi ya wahuni uje huku kwa wenye kutumia busara kujenga hoja.
Na kulifanya jukwaa hili kuwa na nidhamu ya kusomeka.
Basi kwa sababu mmepata privilege ya kutokuombwa IDs na MODS ndio mnakuwa na maneno mabovu siku zote??
Ama unatuangusha watanzania wengi wewe kijana.! Ama!!
 
Kashfa ni jadi ya wahuni na wasio jitambua. Na hoja ni kipimo cha busara.
Sasa mi nakushauri uhame kwenye hio kambi ya wahuni uje huku kwa wenye kutumia busara kujenga hoja.
Na kulifanya jukwaa hili kuwa na nidhamu ya kusomeka.
Basi kwa sababu mmepata privilege ya kutokuombwa IDs na MODS ndio mnakuwa na maneno mabovu siku zote??
Ama unatuangusha watanzania wengi wewe kijana.! Ama!!


Shukran sana Mkuu Bill Cosby...!!
 
We mpayukaji! Jenga hoja matusi na kashfa wapelekee wazee wako kama unao!

Mtoto najisi kabisa.

Nyie mkikanywa na wazee mnazidi kukosa adabu.

Sasa naona uzalendo umeshakuwa tabu! Dawa yenu nyie ni viboko tu.

Wanasiasa watuchafue! Na nyie vikojozi mtuzidishe.
wewe lazima utakuwa unachapwa nao
 
The right and real time for having decision without fearing anyone by anymeans necessary is NOW,

Sasa shida utaianza wewe na ndo maana itatutukua kitambo sana hadi kuwaepuka hao WANYAMA WALAO NYAMA,

Ajabu ni kwamba wasomi wote kama wewe ndo ambao huogopa madhara wakati wa kuhitajia ukombozi,

Ndo nilikiambia haya mambo hayahitajii ilmu kuubwa kama yako,

Leo yule Pasco alikinena yu Zanzibar kuhitimisha kilele cha Mapinduzi ya Zanzibar, mie na weye tunakubaliana kuwa yule kiongozi ABEID AMAN KARUME alikuwa na ilmu kiasi gani vile.....?!


Mkuu Mimi sijaweka swala la Elimu mbele Km unavyosema Ingawa ni muhimu mtu kujitambua! Na pili haya mambo sio rahisi Km unavyosema na ukumbuke ata Mzee Karume mambo hayakua rahisi Km unavyoweza kusema!
 
Ntuzu hebu tusaidie kutuonyesha hayo mazuri, manake mi nikiangalia kushoto na kulia najionea giza tu!
Tafadhali sana mkuu.



Mkuu Km ungerudi na kuisoma tena hiyo post yng ndo ungenielewa Nilikua nazungumzia nini!?

Asante
 
Mkuu Mimi sijaweka swala la Elimu mbele Km unavyosema Ingawa ni muhimu mtu kujitambua! Na pili haya mambo sio rahisi Km unavyosema na ukumbuke ata Mzee Karume mambo hayakua rahisi Km unavyoweza kusema!

Haha hahaa haaa.....
Sheria mfano katika rasimu ya pili ya katiba imependekeza viwango vya Elimu katika nafasi za uongozi,

Kwa mantiki hiyo basi, huoni hiyo Elimu jambo la msingi sana?
Na kama ndivyo ati elimu ndo kila kitu, hebu tutafakari kidogo,
Katika (SIMBA! CHUI! MBWEHA! FISI n.k), ni yuepi katika wao hana Elimu kubwa ambayo si chini ya Shahada? Laniki wote mbona waendelea KULA WANYAMA WALAO MAJANI?!

Nacho amini viongozi / WANYAMA WALAO NYAMA ni kukosa BUSARA! HIKMA hayo mambo mwili kila mara mie huyashopokea sana, lakini sintoacha kuandika mpaka tufungukane na ujinga wa kuhisabu viwango vya Ilmu viso na tija kwa Taifa.
 
Haha hahaa haaa.....
Sheria mfano katika rasimu ya pili ya katiba imependekeza viwango vya Elimu katika nafasi za uongozi,

Kwa mantiki hiyo basi, huoni hiyo Elimu jambo la msingi sana?
Na kama ndivyo ati elimu ndo kila kitu, hebu tutafakari kidogo,
Katika (SIMBA! CHUI! MBWEHA! FISI n.k), ni yuepi katika wao hana Elimu kubwa ambayo si chini ya Shahada? Laniki wote mbona waendelea KULA WANYAMA WALAO MAJANI?!

Nacho amini viongozi / WANYAMA WALAO NYAMA ni kukosa BUSARA! HIKMA hayo mambo mwili kila mara mie huyashopokea sana, lakini sintoacha kuandika mpaka tufungukane na ujinga wa kuhisabu viwango vya Ilmu viso na tija kwa Taifa.


Naam,Naam

Nondo unazishusha vyema kabisa
 
Kwenye Madai ya gesi mimi nasimama kama mwananchi wa kawaida,mnyam mla majani dhidi ya wanyama wala damu na nyama,thats why ukaskia kauli mbiu kwamba GESI KWANZAA,VYAMA BAADAE,GESI KWANZAA SIASA BAADAE,

Hii ilikuja kwa kujua kwamba wanasiasa mara nyingi hupenda kufanya vitu kwa maslahi yao na sio kwa maslahi yako na kukuonea huruma mwananchi wa kawaida,inatokea mara chache sana kumpta mwanasiasa wa aina hiyo,,


Na kikubwa sio kuilaan siasa nachokisema mimi,hoja yangu kuu ni watu kuamka na kutambua kwamba mabadilko hayawez kuletwa na wanasiasa,mabadiliko yanaletwa kwa umoja wao na kujitambua kwao
Hili haliwezi kufanyika bila wananchi kuwa organized.Sasa mtakuwa mnafight under what "umbrella"?
 
Ukitaka kujua taasisi ya bunge haina hadhi jipenyeze kwenye misafara ya kamati zao. Ni aibu tupu. wanalazimisha kulipwa pesa pamoja na kuwa wamelipwa na bunge. wakati fulani walienda kwa bakhresa wakaanza kudai wapewe katoni za unga, koni etc, kwa kweli ni aibu
 
Ukitaka kujua taasisi ya bunge haina hadhi jipenyeze kwenye misafara ya kamati zao. Ni aibu tupu. wanalazimisha kulipwa pesa pamoja na kuwa wamelipwa na bunge. wakati fulani walienda kwa bakhresa wakaanza kudai wapewe katoni za unga, koni etc, kwa kweli ni aibu

Bakhresa aliwaita ama palikuwa na nini?!
 
Bakhresa aliwaita ama palikuwa na nini?!

Mkuu Nimeona kuna Jambo la Gesi linagusiwa ktk thread Hii. Wewe unaonaje kwa mtazamo wako? Ni Jambo rahisi Km ndugu The big show anavyosema kua wanasubiri muda?
 
Haha hahaa haaa.....
Sheria mfano katika rasimu ya pili ya katiba imependekeza viwango vya Elimu katika nafasi za uongozi,

Kwa mantiki hiyo basi, huoni hiyo Elimu jambo la msingi sana?
Na kama ndivyo ati elimu ndo kila kitu, hebu tutafakari kidogo,
Katika (SIMBA! CHUI! MBWEHA! FISI n.k), ni yuepi katika wao hana Elimu kubwa ambayo si chini ya Shahada? Laniki wote mbona waendelea KULA WANYAMA WALAO MAJANI?!

Nacho amini viongozi / WANYAMA WALAO NYAMA ni kukosa BUSARA! HIKMA hayo mambo mwili kila mara mie huyashopokea sana, lakini sintoacha kuandika mpaka tufungukane na ujinga wa kuhisabu viwango vya Ilmu viso na tija kwa Taifa.


Mkuu kwanza ningependa ufahamu kua Mimi siamini sn ktk wanasiasa au vyama vya Siasa kwasababu mabadiliko au maendeleo ni mtu binafsi inakupasa ujifanyie na mwanasiasa au chama Fulani hakiwezi kukufanyia maendeleo au kukupa kila kitu! Hayo mataratibuya rasimu ni mipango inayopangwa kwa faida Yao wenyewe! Kwa sababu Ukitaka kujua Sifa za Kiongozi bora Ata Hawa wenye shahada n.k unaweza ukakuta wanapwaya'!
 
Back
Top Bottom