Wawakilishi wa vijana katika vyama vya ccm,chadema,cuf wanaunguruma radio wapoFM 98:0 live wakijadili mambo mbali mbali yanayohusu vyama vyao.
Tutawajuza zaidi kwa kadri tutakavyofuatilia.
.
babu wa cuf anasema kile vijana walichokuwa wanalalamikia na kuiondoa serikali ya misri madarakani kipo pia hapa tanzania.
Tuna, umaskini,ufisadi nk na pia anamlipua mtu mwenye dhamana serikalini alikutwa na pesa bank cha nje na alisema ni vicent tu hivyo.
Watoto wa tz wanauza ndizi badala ya kwenda shula kwa sababu ya umasikini.
-mihogo ni chakula kilichopewa jina la kikwete.
-umeme unawaka kwenye migodi ya wageni ilhali wenyeji hawana.
-anazungumzia matatizo yanayosababisha migomo vyuo vikuu.
-anatoa wito kwa serikali watatue matatizo yao.
- mitaani yanasemwa kuwa jk ndie rais dhaifu tuliewahi kuwa nae. Anatolea mfano wa kumzuia magufuli kuvunja nyumba za walio katika eneo la barabara na kesho yake anatoka na kauli nyingine ya kuruhusu zibomolewe.
chitanda wa chadema.
Anasema kile kinachotokea kwa wenzetu kitatokea hapa tz.
-tz sii masikini ila viongozi ndio wameifanya nchi kuwa masikini
- tufike mahali tukubali kuwa serikali hii imechoka na haiwezi kuleta mabadiliko.
-sera za mikopo zinabagua, na mtanzania hana haki ya kukopeshwa
- mambo yote tunayoyataka yateletwa na katiba.
- mabadiliko ya katiba yakiruhusu manunguniko yatasababisha mpasuko wa taifa
-lazima katiba ya tz ijadiliwe na watu wote na wala sii kundi moja wala taasisi fulani
-lazima katiba izungumzie tume ya uchaguzi.
-mfumo wa uchaguzi sii mzuri na unaruhusu rushwa kama zawadi kwa wapiga kura.
-kilimo ni lazima kiendane na elimu kwani elimu ni suluhisho la matatizo yote.
-wazee wote wastaafu lazima watibiwe bure, na wazee sii tu wale waliokuwa wameajiriwa serikalini bali pia na waezee wakulima.
.
sanda wa ccm.
-anawashauri wenzake wazungumze kwa takwimu na ushahidi, na kuhusisha mambo ya kwetu na yanayotokea a. Kask ni kuchochea.
-kuna kukua kwa ufahamu na hivyo ni changamoto na kiwango cha kuwa mkweli.
-uadilifu na ukweli ni jambo ambalo kwa sasa halikwepeki.
-uvccm na ccm sii tu kwamba wametulia baada ya kushika dola hapana, bali wapo tayari pia hoja zote zinazotolewa na wenzetu.
-tunawasikiliza wale tunaowatumikia na tunayatendea kazi.
wewe sema tuwashe redio zetu. utatujuza maana yake nini?
kwani umeambiwa sie hatuna redio?
Tujuzeni bana hiyo wapo redio huku haishiki!wewe sema tuwashe redio zetu. utatujuza maana yake nini?
kwani umeambiwa sie hatuna redio?
Chitanda wa chadema.
Anasema kile kinachotokea kwa wenzetu kitatokea hapa Tz.
-Tz sii masikini ila viongozi ndio wameifanya nchi kuwa masikini
- tufike mahali tukubali kuwa serikali hii imechoka na haiwezi kuleta mabadiliko.
-sera za mikopo zinabagua, na mtanzania hana haki ya kukopeshwa
- mambo yote tunayoyataka yateletwa na katiba.
- mabadiliko ya katiba yakiruhusu manunguniko yatasababisha mpasuko wa taifa
-lazima katiba ya Tz ijadiliwe na watu wote na wala sii kundi moja wala taasisi fulani
-lazima katiba izungumzie tume ya uchaguzi.
-mfumo wa uchaguzi sii mzuri na unaruhusu rushwa kama zawadi kwa wapiga kura.
-kilimo ni lazima kiendane na elimu kwani elimu ni suluhisho la matatizo yote.
-wazee wote wastaafu lazima watibiwe bure, na wazee sii tu wale waliokuwa wameajiriwa serikalini bali pia na waezee wakulima.
.
muache atujuze-maana kuna wengine hio redio haitufikii tulipowewe sema tuwashe redio zetu. utatujuza maana yake nini?
kwani umeambiwa sie hatuna redio?
babu wa cuf.
-hatuna mahusiano mazuri na ccm.
Ccm kwa matendo yao ya kutaka tu kunyakua dola hili limefanya tusiwe na mahusiano na ccm. Wala hatutataka kuwa na mahusiano nao.
-kwa upande wa vyama vingine vya upinzani tuna mahusiano nao mazuri.
- chadema nao hatuna nao uhusiano mbaya ila tunatofautiana tu kimtizamo.
.