zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
nimechelewa au kushindwa kuelewa huu mfano wa CCM & CHADEMA..nashindwa ku connect dots...nachoweza kusema ilikuwa na nia ya kutuambia tu kuwa leo ulikuwa wapi na uliongea na YUNA sijui kitu gani..otherwise i dont see it meaningful to be an example to CCM and CHADEMA...
Mike ni chadema Malecela ni CCM na wote ni JF na wote walialikwa.
Umeelewa sasa?