William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Mheshimiwa Naibu Waziri wa Mawasiliano, Mh. Januari Makamba, jana kwenye kongamano la Vijana wa YUNA Chuo cha Ustawi wa Jamii, Kijitonyama; ambako pia William Malecela alikuwa mmoja wa wageni waalikwa, pamoja Jokate Mwegelo (Channel 0 TV), Reuben (clouds), Mike Mushi (JF).
Vijana ndio uti wa mgongo wa Taifa, na ndio taifa la kesho kama hatukuwaelimisha hawa vijana umuhimu wa utaifa wao, tutajenga taifa lisilo na wazalendo wa kesho; jana kwa kushirkiana na Mushi kutoka (Utawala Jamiiforums, mwenye shati la draft na miwani) tumewapa sana darasa hawa vijana hope na huko kwenye vyama vyetu vya siasa mtaelewa hili somo.
- Pia it was great kwamba tunaweza kujisema wazi mbele ya public kwamba we are JF, that was great!
- MUNGU AIBARIKI TANZANIA!
William.
Vijana ndio uti wa mgongo wa Taifa, na ndio taifa la kesho kama hatukuwaelimisha hawa vijana umuhimu wa utaifa wao, tutajenga taifa lisilo na wazalendo wa kesho; jana kwa kushirkiana na Mushi kutoka (Utawala Jamiiforums, mwenye shati la draft na miwani) tumewapa sana darasa hawa vijana hope na huko kwenye vyama vyetu vya siasa mtaelewa hili somo.
- Pia it was great kwamba tunaweza kujisema wazi mbele ya public kwamba we are JF, that was great!
- MUNGU AIBARIKI TANZANIA!
William.