GITU
Member
- Oct 2, 2010
- 16
- 1
Leo ni siku ambayo"kiongozi wa mkuu anawasili katika jimbo la busanda katika kata ya nyarugusu"vijana wengi hawaoneshi msisimko wowote ambao watu wengi wamechoka na chama cha ccm mpaka wazee nao wamechoka"kinachochekesha chama cha mapinduzi kinakusanya maroli ambayo yanabeba watu kutoka sehemu mbalimbali ili kuonyesha msisimko,lengo lao ni kujionyesha wanawatu wengi lakini hapana watu tumechoka