Nami nilitumiwa, lakini kwa kuwa aliyenitumia namfahamu na najua asingeweza kufanya hivyo, nilimjibu hivi; "Tafadhali sana, usiyaamini ya kusemwa, bali ya kuyaona! Na kihistoria chama cha upinzani haijawahi kuanzisha vurugu duniani, bali pale chama tawala inapozidiwa nguvu ndipo vurugu huanzishwa! Mfano; Kenya & Zimbabwe. Na jana (23/10/2010) Dr. Slaa akiwa pale Moven Peak, Dar es Salaam aliwaagiza wana CHADEMA kuwa "ukitukanwa, angalia, puuzia na uondoke, na ukipigwa kofi mgeuzie na la pili, maana sipendi kwenda ikulu huku watu wakimwaga damu na kubaki vilema kwa ajili yangu". Hivyo, tafadhali sana, Tafakari, Amua na uchukue hatua". Hivyo tena, tujaribu kuwa makini sana, maana sasa CCM wanafanya maasi, then wanasambaza ujumbe wa kinyume chake kutuhumu CHADEMA...! Lakini kwa vyovyote ukweli unabaki kuwa "SIKU YA KUFA KW NYANI, MITI YOTE HUTELEZA...!"wakuu jana tarehe 24 oktoba, 2010, mnamo saa 1:09 jioni nilipata ujumbe wa maandishi (text message) kwenye kikasha cha kupokelea cha simu yangu; uliosema:
chadema wametekeleza ahadi ya kumwaga damu. juzi wamemuua ndugu wa mgombea wa ccm maswa. mjumbe wa kampeni ya slaa amekamatwa. tuwakatae chadema wamwagaji damu.
my take;
- je, ni kweli chadema walitoa ahadi ya mauaji kwenye ilani yao ya uchaguzi.
- ni nani hao waliotuma ujumbe huo na kwa nini hawajitambulishi?
- je, kuna mkuu yeyote aliyetumiwa ujumbe huu au kusikia popote au ndio mimi tu peke yangu ndiye niliyetumiwa?
picha yako kali mkuu...Mapambano Yanaendelea !!
matumizi mabaya ya technologia dhidi ya TAIFA.
bahati yao mbaya kwani mtaani kuna IT specialists wakali kuliko hao wanajipendekeza ikulu ndo maana hawafurukuti wakijaribu spinning.
Kuna ujumbe umenifikia sasa hivi kutoka namba 078049550 kupitia mtandao wa zain usemao...
Kwenye bold hapo ni kwamba shibuda ndiye anayeshikiliwa isivyo halali mpaka sasa, hivyo wanavyosema kuwa mjumbe wa kampeni wa slaa amekamatwa huo ni uwongo na kuchafuana kama walivyo wachafu.
Wakuu nimeweka hii namba hapo kwani utata wake ni kwamba ina tarakimu tano badala ya sita hivyo naamini kuna NIAmbaya makusudi imefanywa na hata hao wenye mtandao (ZAIN) kupitisha huu ujumbe.
Pili ni kwamba mimi ninaomba msaada wa kisheria niweze kushtaki maana ujumbe huu maana sijui mtumaji ana lengo gani na mimi.
nimejaribu kumpigia mwenye namba simpati. kama kuna mtaalam anaweza kuipata chanzo ya hii namba tumwanike hapa jukwaani
The Following User Says Thank You to Rev Masanilo For This Useful Post:Kikwete is sick anaendeleza udini na umasikini kwa watanzania!