NANGA WA DEPO
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 917
- 1,198
Wandugu.....
Mdogo wangu kachaguliwa hiyo kozi chuo kikuu cha sokoine sua,,,,naomba mtu ambaye yuko kwenye hiyo field au yeyote mwenye kujua anisaidie yafutayo::
1. Kama ni ajira unaajiriwa maeneo gani hasa iwe government au n.G.O's????
2.Na kama atajiajiri atafanya kazi gani hasa??
Amejikuta kapangiwa tu hiyo kozi ingawa aliichagua kama chaguo la mwisho kujaza nafasi lakini hakutegemea.....Yeye alikuwa amelenga udaktari...
Mdogo wangu kachaguliwa hiyo kozi chuo kikuu cha sokoine sua,,,,naomba mtu ambaye yuko kwenye hiyo field au yeyote mwenye kujua anisaidie yafutayo::
1. Kama ni ajira unaajiriwa maeneo gani hasa iwe government au n.G.O's????
2.Na kama atajiajiri atafanya kazi gani hasa??
Amejikuta kapangiwa tu hiyo kozi ingawa aliichagua kama chaguo la mwisho kujaza nafasi lakini hakutegemea.....Yeye alikuwa amelenga udaktari...