Kadiri mabadiliko ya tabia nchi yanavyoongezeka ndivyo mwanadamu anavyotafuta mbinu zaidi za kujihami.
Sasa hivi upo mpango wa kutoa malipo kwa Watz waliopanda miti kwa wingi ktk eneo moja. Kwa sasa mpango huu uko ktk mkoa wa Iringa.Kuna kampuni moja kubwa ya upandaji miti inausimamia mpango huu. Watakachofanya, wanapima kipenyo cha miti yako,umri wa miti,kisha wanakwambia miti yako italipiwa kiasi gani kila mwaka. Malipo yatakuwa yanaongezeka kila mwaka kwa kadri mti unavyopanuka.
Bahati mbaya watakaofaidi fedha hizi ni wageni kupitia makampuni haya,sisi tunaishia kupiga soga na kulalamika. Hapa jamvini kuna mtu anatumia ID ya Edson,nina hakika anaweza kutuweka sawa ktk hili.
Ikiwa ni kweli mpango huu utapanuka mpaka kwa watu wa chini,basi ni muhimu tuunganishe nguvu ili nasi tufaidi
Sasa hivi upo mpango wa kutoa malipo kwa Watz waliopanda miti kwa wingi ktk eneo moja. Kwa sasa mpango huu uko ktk mkoa wa Iringa.Kuna kampuni moja kubwa ya upandaji miti inausimamia mpango huu. Watakachofanya, wanapima kipenyo cha miti yako,umri wa miti,kisha wanakwambia miti yako italipiwa kiasi gani kila mwaka. Malipo yatakuwa yanaongezeka kila mwaka kwa kadri mti unavyopanuka.
Bahati mbaya watakaofaidi fedha hizi ni wageni kupitia makampuni haya,sisi tunaishia kupiga soga na kulalamika. Hapa jamvini kuna mtu anatumia ID ya Edson,nina hakika anaweza kutuweka sawa ktk hili.
Ikiwa ni kweli mpango huu utapanuka mpaka kwa watu wa chini,basi ni muhimu tuunganishe nguvu ili nasi tufaidi