Caroline Danzi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 3,713
- 1,263
Presha inapanda,presha inashuka;
Niko nje ya Dar,nategemea next week kurudi dar,na nitapitiliza Mapanda/Chogo kuangalia usalama na maendeleo ya kitalu cha miche. Nikitoka huko nitakutafuta na ikibidi nitakufuata hata kama utakuwa Mafinga.
Mpaka hapo nakushukuru sana mkuu. Namwomba Mungu nipate hiyo fursa ya kuonana na MD na Mungu anipe kibali cha kusikilizwa na mkuu huyo.
MD wa Green resources? mpe salaam nyingi sana. I wish hii issue wakaipeleka kagera mbona tutafaidi?