Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,231
- 113,589
Wadau, ningependa kujua sheria za barabarani Tanzania zinasemaje kuhusu kuendesha gari na mtoto akiwa ndani? Je, ni lazima uwe na car seat? Na kama ni lazima ni watoto hadi wa umri gani wanaotakiwa kuwekwa kwenye car seat? Na kama wamevuka huo umri sheria inasema wakae kwenye kiti cha nyuma au?
Wenye kujua tafadhali nijuzeni. Natanguliza shukrani.
Wenye kujua tafadhali nijuzeni. Natanguliza shukrani.