Canada and Tanzania to begin negotiations on FIPA

Zitto,
Mheshimiwa nitakuwa shukran zangu pamoja na kwamba watu wansema ni wajibu wako lakini wanasahau mila na desturi za mswahili kuwa shukran hutolewa hata ukipewa chakula na mama yako ama mkeo..
Mungu hushukuriwa hata kama nguvu yote ya kupata umeifanya wewe.. ndio ustaarabu wa binadamu hata kama ni wajibu wa Mungu kuwasaidia viumbe wake.
Binafsi nakushukuru kwa kulifikisha swala hili apale linapotakiwa kama mjumbe wetu kuliko kundi la madudu waliokaa huko wakichapa usingizi.. sijui nalo ni jukumu lao vile vile!
Kifupi mkuu Makampuni yote ya Canada yaliyopo Tanzania hivi sasa uyameingia Ubia na viongozi wetu, inafahamika vizuri sana tena basi kuna baadhi ya wachimbaji waodgowadogo ambao wamejaribu kuyafuata mashirika hayo kwa ubia wamejikuta wakipoteza machimbo yao kwa viongozi...
Kumbuka mkuu hadi sasa hivi ardhi ni mali ya serikali, hivyo baadhi ya viongozi wetu hutumia kimwanya hicho kuchukua ardhi na kuweka mikataba ambayo leo hii inatupa matatizo makubwa.
hakuna mshimbaji madini yeyote Tanzania anayetaka kujihusisha na mashirika hayo kwa sababu wanaelewa hatma yake. Ukiwafuata tu kuomba ufadhili wao basi wao huchukua report hizo na kuzipeleka kwa wapambe wao (viongozi wetu) na kuomba kibali cha kifanya utafiti bila kumhusisha tena mwananchi.. Huko hukata kisu safi na kibali hupatikana kwa majadiliano ambayo sidhani hata Bungeni yamejadiliwa...
This is Tanzania in a first stage of Economic revolution - UFISADI.
 
kweli wajinga ndo waliwao!
canada anaendelea kula , Marekani nayo ipo njiani kuja kupata chake.
tanzania tunawanufaisha wawekezaji tu na mafisadi wachache wakati sisi wenyewe tunaendelea kulia njaa
 
Kuna haja ya wananchi kuishinikiza TAKUKURU kuchunguza madai ya balozi yuhu kushawishi na kutoa rushwa ya mlo wa jioni na wabunge wote waliokula mlo ule wachunguzwe kwa kupokea rushwa, kwani hakuwa na sababu ya msingi ya kuwakirimu wabunge.

Ikidhibitika basi tuiombe serikali ya canada kumvua hadhi ya ubalozi na hatimae kumfikisha kizimbani na sheria kuchukua mkondo wake.
 
............haya ndio madhara ya kuwapa wacanada/mafisadi ripoti kama ile ya uchunguzi wa madini kabla haijafika mahala pake kwanza...........

.........but..........anyhow hata ingefika kunako hitajika kabla ya mafisadi hawajaiona kusingebadilisha chochote...........

Zitto,
.....nafikri kuvuja kwa ripoti yako/yenu kwa hao wawekezaji ndio kumewafanya wenzenu kuwa hatua moja mbele hata kabla ya final decisions bungeni!!........najua vita unayopigana mkuu.......hongera kwa kuliweka wazi

Nakumbushia tena umuhimu wa open meetings na wananchi kuhusu mustakabali wa mikataba mbali mbali ya NCHI yetu..............mbona wenzetu wanaweka wazi na wananchi wao wanajadiliana kabla ya maamuzi ya serikali kufanyika??
 
Ogah,serikali hii sio ya wananchi ndio maana hawapewi taarifa za maamuzi makubwa kama hayo mkuu.

Hii ni serikali ya wawekezaji na sisi wawekezwaji hatuna haki ya kujua chochote kwani hatuna hisa humo.
 
MP queries Tanzania-Canada talks on investor 'protection'




-PM says he is not aware of such a thing

THISDAY REPORTER
Dodoma

A MEMBER of Parliament yesterday questioned ongoing negotiations between the government and Canada for an agreement aimed at protecting the interests of Canadian investor companies in the country, including the mining giant Barrick Gold Corporation.

Speaking during the Prime Minister's Questions (PMQs) weekly session in the National Assembly, Zitto Kabwe (Kigoma North-CHADEMA), asked premier Mizengo Pinda to explain the motives behind the recently-initiated official talks geared towards finalizing a legally-binding Foreign Investment Promotion and Protection Agreement (FIPA) between the two countries.

He expressed concern that the proposed agreement could effectively cancel out the work of the presidential mining sector review committee chaired by retired judge Mark Bomani, of which he (Zitto) was also a member.

''Tanzania is currently in negotiations with the Canadian government to enter into this agreement. In fact, Tanzania has already agreed to speed up these negotiations, even before the recommendations of the Bomani committee report have been enforced by law,'' said the MP, following this up with a direct question to the prime minister:

''Why has the government agreed to undermine the sovereignty of our nation and undercut the authority of Parliament, by engaging in negotiations aimed at protecting dubious contracts with foreign companies, even as the Bomani committee report is still being handled by Parliament right now?'' he continued.

Responding, premier Pinda said he was not aware about the ongoing negotiations between Tanzania and Canada cited by the MP.

He asked Zitto to give him time to look into the matter, in order to come up with an informed response to his questions.

The MP, who is also chairman of the Parliamentary Public Corporation Accounts Committee, told THISDAY in an interview later yesterday that he was ''deeply suspicious'' about the real motives of the talks, which he said actually began while the Bomani committee was still doing its work.

According to THISDAY's own findings, while the Bomani committee was formed on November 12 last year and presented its report findings to President Jakaya Kikwete on May 24, this year, the negotiations between Tanzania and Canada for the FIPA began in March this year.

''This timing is very suspicious,'' stated Zitto, adding that he had personally seen a 'model' of the proposed agreement and concluded that ''it is purely an instrument aimed at protecting the interests of Canadian companies in Tanzania.''

He advised the government to halt the negotiations with Canada until Parliament has properly debated the report findings of the Bomani committee, along with its recommendations for key reforms to the national mining sector policy and tax regime.

According to Zitto, proceeding with the negotiations at this stage would only pre-empt the recommendations of the Bomani committee report.

He further noted that although prime minister Pinda was ?gentleman enough? to admit that he was not informed about the ongoing talks, such an admission did not reflect well on the workings of the government.

Said Zitto: ''If the prime minister has not been briefed about such important negotiations with a foreign government, it means there must be a serious lack of coordination within the government.''

He faulted the Ministry of Foreign Affairs and International Co-operation, Tanzania Investment Centre (TIC), Tanzania Intelligence and Security Service (TISS), and other relevant government departments for apparently failing to properly brief the premier on such important issues.

According to information posted on the website of Canada's own department of foreign affairs and international trade, Dar es Salaam and Ottawa have ''pledged to work together to conclude an agreement in a timely manner.''

''A bilateral FIPA will provide greater predictability and certainty for Canadian investors considering investment opportunities in Tanzania, and will underscore Tanzania's reliability as an investment destination,'' says a report on the website

It continues: ''Canada's objective in entering these negotiations is to secure a comprehensive, high-quality agreement which will protect investors through the establishment of a framework of legally binding rights and obligations.''

THISDAY recently reported that the Canadian High Commissioner to Tanzania, Janet Siddall, and other officials from the embassy in Dar es Salaam were in Dodoma on an intense mission to lobby MPs about their positions on the Bomani committee report findings.

Parliamentary sources confirmed that the Canadian delegation had been in private talks with influential legislators from both the ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) and the Opposition camp.

''They were keen to ensure that Parliament does not endorse the Bomani committee report for immediate implementation, because that would have quite negative consequences for that country's business and investment interests in Tanzania,'' one source told THISDAY.

The report is in line to be debated in the National Assembly during the ongoing budget session.
 
Mimi nasubiri kwa hamu majibu ya waziri mkuu , kama ni kweli serikali inafanya mazungumzo na serikali ya Canada basi hakuna maana ya kuwa na Bunge ! na kuongezea tuu hii itakuwa ni tusi kubwa kwa Bunge letu ...Kama alivyosema Zitto aimake sense hata kidogo kwa serikali kudiscuss issue ambayo bado hiko kwenye meza ya Bunge .



Hii inaonyesha ni jinsi gani Bunge letu linavyotumika kama theatre ya kufanyia mazingaombwe....wanadiscuss issue muhimu nje yapale then wanarudi bungeni kufanya rubber stamping.


Tukubali tusikubali, watu weusi tuna kasoro kubwa zaidi ya ujinga.Sijui ni niuite nini, ila hawa wazungu wanaelewa hilo na wanalitumia kwa faida yao.
Kama ambavyo tulivyo na kasoro hiyo lakini kati yake kuna wachache sana, tena sana ambao hawatuna tatizo hilo.
Huyu PINDA unamsubiri akujibu au akuletee jibu atakalopewa na ''wenye nchi''kwani hata JK hana jibu yeye kazi yake kupewa na kuariwa cha kusema na kufanya.

Mnashangaa ya canada marekani! marekani wameshaanza kusuply rig za kuchimbia mafuta tz! tena wanasema tz kuna priceless skill!

An Oklahoma company secured a $313 million contract to provide drilling rigs to an East African nation by employing a priceless skill that can be practiced free of charge: the ability to form good relationships.

Michael Helvey, CEO and president of Oklahoma City-based Helvey International, on Thursday signed a contract with Nassir Yusuph, director of Petronat International Ltd., a fuel pipeline and storage company based in Durban, South Africa, at a state Capitol ceremony. The contract requires Helvey to build and deliver 10 full-scale drilling rigs and service equipment to the developing East African nation of Tanzania.

Angola ni nchi inayosafirisha mafuta kwa Mchina na Mmarekani zaidi ya Kuwait,lakini kwa kasoro tuliyonayo sisi waafrika hawafaidiki na hazina yao. Mortality rate ya Angola iko juu zaidi ya Afghanistani.70% of its population are below poverty line!!!
Kwa matatizo tuliyonayo Watu weusi hata Tanzania hatutafaidika na mafuta hayo.
 
More news ni kuwa wacanada wamechanganyikiwa sasa na mapambano yameingia milangoni mwao baada ya NGO za Canada kuandika barua kali kwa waziri wao wa mambo ya nje na kuhaji ni kwanini Balozi wao aliendfa kufanya lobbying kwa wabunge wa Tanzania? wanataka maelezo juu ya hatua juu ya balozi huyo.
 
vyama vya siasa, ngos, tucta daruso waandae maandamano hadi kwa spika, takukuru na ubalozi wa canada kushinikiza balozi awataje wabunge waliokula mlo. offer ndo mwanzo wa kutongozwa.
 
Zito

Shukrani kwa kuiibua hii deal ya kimafia kati ya JK na Sinclair bin Mwizi huko Bungeni, wasiopenda sisi kukupongeza wale chupa.

Kama kweli wabunge wa Chama Cha Mafisadi wangekuwa na upendo wa nchi yao si wangemuuliza spika kulikoni majadiliano ya siri ya serikali ya JK na CCM? Haiwezekani kutumia mafisadi kujadili mustakabali wa manufaa yetu. Wamejiweka mkao wa kula ili mikataba mibovu iendelee hadi watakapotoka madarakani lakini wanasahau kitu kimoja bomu hili limekwisha lipuka na madhara yake hayawezi kuzimwa na zima moto ya majambazi kama Sinclair bin Mwizi.
 
Wandugu,

NImefarijika sana na kuona kwamba watu wameweza kuhamasika na mara moja swala hili limefika hadi bungeni.

Mimi mwenyewe pamoja na kuleta taarifa hizi hapa nimekua nakilifuatilia kwa ukaribu suala hili la huu mkataba, nimebaini kwamba, Canada wameweka wanasheria wakubwa na wenye uzoefu wa hali ya juu kwenye majadiliano ya huu mkataba, baadhi yao ni wale waliojadiliana mkataba kama huu na nchi kama china, marekani na Uingereza.

So wapo watu wenye uzoefu wa hali ya juu kwenye hii team ya Canada, so we also need to be very cautious with our team as well. Inastahili tutume wawakilishi wenye uzoefu wa hali ya juu na tuachane na siasa.

Cha muhimu inabidi tuhakikishe mkataba huu unafikishwa bungeni, manake moja ya mbinu wanazozitumia hawa watu ni kufanya hili jambo lionekane ni la haraka na kuwenka vipengele viiingi vinavyozungumzia kitu kimoja ili kufanya mkataba uonekane mkubwa na kutia uvuvu wa kusoma, hizi ni baadhi ya mbinu wanzozitumia, aliniambia mmoja ya washiriki kutoka Canada.
 
Sisi kwenye mikataba huwa tunapeleka wanasiasa, halafu wakishakubaliana ndo draft anapelekewa mwananasheria kusoma na kutoa comments kisha mkataba unasainiwa, hapo unakuwa umechelewa sana. Inatakiwa timu nzima ya majadiliano iwe ni ya wanasheria labda na mwanasiasa mmoja. Vinginevyo, tunakuwa kichwa cha mwendawzimu
 
Canadian NGOs question envoy's tete-a-tete with Tanzanian MPs

THISDAY REPORTER
Dar es Salaam

CIVIL society organizations in Canada have voiced concern that their government may be putting pressure on members of the Tanzanian Parliament to ignore the recommendations contained in the final report of the mining sector review committee chaired by former Judge Mark Bomani.

A group of Canadian NGOs last week formally wrote to the country's Foreign Affairs Minister, David Emerson, demanding clarification on reports that the Canadian government has been actively lobbying Tanzanian MPs not to endorse the Bomani Committee report.

''On behalf of the Africa-Canada Forum, a working group of the Canadian Council for International Co-operation, we would like to have clarification on meetings between Canadian High Commission staff and Tanzanian legislators on the report of the Presidential Mining Sector Review Committee, and the Canadian government's position on the Committee's report,'' said the letter from the Canadian Council for International Co-operation to foreign affairs minister Emerson.

''Canadian and Tanzanian civil society organizations are concerned that Canada may be pressuring Tanzanian legislators not to endorse the report,'' it added.

The letter, dated July 23, was also copied to Canada's International Trade Minister Michael Fortier; the country's High Commissioner to Tanzania, Ms Janet Siddall; and Tanzania�s own High Commissioner to Canada, Peter Kallaghe.

It asserted that the mining sector review process was a ''significant effort by the government of Tanzania to re-examine mining investment in the country'', in order to ensure democratic governance and ownership.

The Democratic Republic of Congo (DRC) has already taken a similar approach which ''looks poised to nullify or renegotiate a number of unfair contracts,'' the letter further noted.

According to the Canadian civil society statement, the Bomani Committee recommendations include the establishment of a ''national mining authority'' charged with supervising all mining activity in Tanzania.

''The committee also proposes changes to taxation and royalties paid by the mining sector, to reflect more appropriately what is owed to the Tanzanian government,'' it stated.

It quoted organs like Canada's standing committee on foreign affairs and international trade (SCFAIT), and ''the consensus-based Final Report from the National Roundtables'' as making heated calls for fair deals with Tanzania and other countries.

According to the CSOs statement, SCFAIT is seeking the adoption of measures that ''make Canadian government support such as export and project financing and services offered by Canadian missions abroad conditional on companies meeting clearly-defined corporate social responsibility and human rights standards, particularly through the mechanism of human rights impact assessments.''

On the other hand, the National Roundtables report recommends that the Canadian government, ''while respecting the national sovereignty of developing countries that seek to promote economic and social development through investment in the extractive sector, should work with these countries' governments to develop strategies consistent with optimizing benefits of extractive projects.''

The Roundtables report also called for the establishment of Canadian corporate social responsibility standards, and the appointment of an independent ombudsperson to monitor compliance with these standards, said the CSOs' statement.

But it also noted that over 15 months since this report was released, the Canadian government has yet to implement any of its recommendations.

Said the CSOs' statement: ''We urge the Canadian High Commission in Tanzania to follow the SCFAIT and Roundtables recommendations in its dealings with Tanzanian legislators.''

Going further, it also quotes a recent statement from the Africa Initiative on Mining, Environment and Society, adopted by 39 African members including representatives from Tanzania, which calls for ''all pressures and policy prescriptions for Africa and African governments to cease forthwith, so as to allow African governments and people to enjoy the right to policy choices, and review their laws and mining contracts without any limitation.''

The CSOs' statement concludes with a call to ''promote and ensure that Africa optimizes the benefits of its mineral potentials in ways that guarantee national economic development, human rights, environmental sustainability, and promotion of community interest.

''With Tanzania, Canada has the opportunity to show leadership in corporate social responsibility in the extractive industries. We are convinced that Canada can demonstrate its commitment to promote the kind of development that Africans envision for themselves, and that so many Canadians support.''

Contacted for comment, Judge Bomani told THISDAY that although he personally has not seen a copy of the letter itself, he has heard reports about such concerns from Canadian civil society organizations.

''It is pleasing to see that there are some people out there who value the work of our committee,'' said Bomani.

On Thursday last week, a local legislator questioned the reports of ongoing negotiations between the Tanzanian and Canadian governments for an agreement aimed at protecting the interests of Canadian investor companies in the country, including the mining giant Barrick Gold Corporation.

Speaking during the Prime Minister's Questions (PMQs) weekly session in the National Assembly, Zitto Kabwe (Kigoma North - CHADEMA) asked Premier Mizengo Pinda to explain the motives behind such talks apparently geared towards finalizing a legally-binding Foreign Investment Promotion and Protection Agreement (FIPA) between the two countries.

The MP expressed concern that the proposed agreement could effectively cancel out the work of the Bomani Committee, of which he (Zitto) was also a member.

Responding, premier Pinda told the House that he was not aware about such ongoing negotiations between Tanzania and Canada, and asked for more time to come up with an informed answer.

THISDAY recently reported that the Canadian High Commissioner to Tanzania, Ms Siddall, and other officials from the embassy in Dar es Salaam were in Dodoma on a particularly aggressive mission to lobby local MPs about their positions on the Bomani Committee report findings.

Parliamentary sources confirmed that the Canadian delegation had been in private talks with influential legislators from both the ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) and the Opposition camp.
 
Tanzania, Canada To Hold Talks Later This Mo On Mining Invest
5 hours ago

DOW JONES NEWSWIRES

Tanzanian and Canadian government trade experts are expected to start talks later this month aimed at reaching a foreign investment and protection agreement which will safeguard the interests of Canadian investors in Tanzania's mining sector, a government official told Dow Jones Newswires Monday.

The Tanzanian official at the ministry of energy and minerals, said Tanzanian trade and investment experts will start negotiations with their counterparts from the Canadian Department of Foreign Affairs and International Trade.

"Negotiations are an initiative of the Canadian government," he said.

Canada's Department of Foreign Affairs and International Trade Web site said the objective of the talks with Tanzania is to secure a comprehensive agreement to protect investors through the establishment of a framework of legally binding rights and obligations.

Canada-based Barrick Gold Corp. (ABX), the world's leading gold producer owns Kahama, North Mara and Bulyanhulu Gold Mines in Tanzania, the company is also set to start output at its Tanzanian Buzwagi Gold project next year.

According to insiders any agreement would protect Barrick and other prospective Canadian investors in Tanzania from tax and royalty hikes being sought by the Tanzanian government from mining companies.
Last year, the Tanzanian president appointed a panel to review mining contracts and laws in the country. The committee has since recommended that taxes and royalties be hiked to boost revenue collections from the sector.

Since 1998, mining companies in Tanzania have been enjoying a wide-range of tax breaks and other incentives which have helped attract up to $2.5 billion in the sector by the end of 2006 and lifted Tanzania's annual gold output to 1.75 million ounces.

-By Nicholas Bariyo, contributing to Dow Jones Newswires; 256-75262 4615; bariyonic@yahoo.co.uk

My Take:

If you protect the world largest gold producer, then you don't need to change a thing in our mining policy. It has to be an all or nothing approach. Otherwise, whatever agreement entered should not cover Canadian companies now operating in the country. It should cover any companies that would later enter the country. Vinginevyo, tukubali tu yaishe.
 
Tunaweza kupata majina ya mafisadi toka Tanzania wanaoshiriki katika upumbavu huu wa kuwaprotect wageni pamoja na kuwa Watanzania tumeshalalamika kwamba mikataba ya madini haina maslahi kwa Tanzania? Wanataka kuwaprotect Barrick na makampuni mengine kwa faida ya nani?
 
...ngoja tusubiri 2010 tuone kama kweli wananchi wamechoka na hawa mafisadi la sivyo tusipotezeane muda!
 
...ngoja tusubiri 2010 tuone kama kweli wananchi wamechoka na hawa mafisadi la sivyo tusipotezeane muda!

2010 hakuna chochote kitakachobadilika. Mafisadi wataiba kura, watatumia vyombo vya dola kuwatisha wananchi na viongozi wa upinzani. Na Watanzania walio wengi ambao wanaishi vijijini hawajui haya ya ufisadi na wengi wao chama cha mafisadi bado ni nambari one.
 
Back
Top Bottom