jamani wapendwa hivi mtu akichaguliwa kwenye post mbili na interview ikawa siku moja inakuaje?
Ilitokea hivyo na kama ni utumishi bac itabid uchague tu moja, lakini kama ni makampun mengine unaweza kuwasiliana na moja wapo ukaomba uhairishiwe hku ukitoa sababu itakayowafanya washawishike kukubali ombi hilo.
t
thanx for leting me know it was about utumish interview, one more help in one post we a 50 n the other we a12 wat ishud i choose then im nervers u know making choice iz such a sacrifice
t
thanx for leting me know it was about utumish interview, one more help in one post we a 50 n the other we a12 wat ishud i choose then im nervers u know making choice iz such a sacrifice
hiyo interview unaenda kufanya kwa lugha gani?