Can you help me pliz, abt da interview issue

Carla

JF-Expert Member
Aug 4, 2012
398
331
jamani wapendwa hivi mtu akichaguliwa kwenye post mbili na interview ikawa siku moja inakuaje?
 
jamani wapendwa hivi mtu akichaguliwa kwenye post mbili na interview ikawa siku moja inakuaje?

Ilitokea hivyo na kama ni utumishi bac itabid uchague tu moja, lakini kama ni makampun mengine unaweza kuwasiliana na moja wapo ukaomba uhairishiwe hku ukitoa sababu itakayowafanya washawishike kukubali ombi hilo.
 
t
Ilitokea hivyo na kama ni utumishi bac itabid uchague tu moja, lakini kama ni makampun mengine unaweza kuwasiliana na moja wapo ukaomba uhairishiwe hku ukitoa sababu itakayowafanya washawishike kukubali ombi hilo.

thanx for leting me know it was about utumish interview, one more help in one post we a 50 n the other we a12 wat ishud i choose then im nervers u know making choice iz such a sacrifice
 
Du kwanza hongera sana kama ni wewe, kwa upande wangu hakuna shida kama ni siku moja masaa yanatofautiana na zote zipo sehemu moja mfano Dar itabidi ukubali kuingia cost ya tax unamaliza moja then unakimbia fatsa kwenye nyingine. But kama masaa yapo sawasawa cha kufanya ni kuatend kwanza ile unayoona kuna matumaini na ile ambayo unaona hakuna matumaini wapigie waambie ulikua safari mkoani waambie utachelewa kama saa moja yaani watakuelewa.Lakini ukijifanya eti unaomba kuahirisha eti mapaka siku ya pili yake itakula kwako mazima hakuna atakaekusubiri katika zama hizi ambazo unakuta post moja applicants 300
 
t

thanx for leting me know it was about utumish interview, one more help in one post we a 50 n the other we a12 wat ishud i choose then im nervers u know making choice iz such a sacrifice

Hapo itabid ucheki walikua wanahitaji kuajir watu wangap katika hizo nafac walizotoaga hafu ndo ufanye uhamuzi wako. mfano unaweza kuta kwenye hiyo walioita watu 50 wanahitaji labda watu 10 hapo inamaana nafac moja inagombaniwa na watu 5, na hiyo ya 12 labda wakawa wanahtaj watu 4 hapo inamaana nafac moja mtu 3 inagombania. Cha muhimu cheki ni ipi umeipenda zaid halafu uanze kujiandaa fresh kwa interview ili utoke.Kila la Heri
 
Kikubwa chagua ile ambayo unaona kuwa unaeza kjimwaga bila ya kukutetereka, pia usiangalie uchache wa watu kwenye interview coz unaeza kuta watu wachache but ukakutana na watu wenye experience more than you,
angalia wapi unajiaamini kaka
 
t

thanx for leting me know it was about utumish interview, one more help in one post we a 50 n the other we a12 wat ishud i choose then im nervers u know making choice iz such a sacrifice

hiyo interview unaenda kufanya kwa lugha gani?
 
Back
Top Bottom