CAIRO na MISRI

malaika2

Member
Dec 16, 2011
38
3
Zamani za kale kulikua na vita huko MISRI. Nyerere na Kawawa walikuwa moja ya wapiganaji wa vita hvyo. Wakati vita vimenoga ikatokea njaa kali. Nyerere akanyanyua kaa la moto akamwambia Kawawa "Kaa iro (CAIRO)" Kawawa akajibu "Mimi siri (MISRI)
Hicho ndio chanzo cha majina ya CAIRO na MISRI
 
Zamani za kale kulikua na vita huko MISRI. Nyerere na Kawawa walikuwa moja wa piganaji wa vita hvyo. Wakati vita vimenoga Nyerere akanyanyua kaa la moto akamwambia Kawawa "Kaa iro (CAIRO)" Kawawa akajibu "Mimi siri (MISRI)
Hicho ndio chanzo cha majina ya CAIRO na MISRI

Tena?Karibu jamvini.
 
Back
Top Bottom