CAG acha kuupotosha umma wa Watanzania

Mkuu umenena vyema haswa. CAG kazi yake ni external auditor wa wizara na idara za serikali. Mpango kazi wake ni kutoa opinion kwenye hesabu za serikali na jukumu la kuzuia ama kugundua wizi ni la viongozi wa Idara za serikali. Hawa huwa wana watu wanaitwa Internal Auditors ili kuwasaidia kujua kama idara zinaendeshwa vizuri na internal controls ziko in place. Unapompa CAG kazi za special audit (hasa zinapokuwa nyingi) unampotezea muda wa kufanya shughuli zake.
Hivi Internal Auditors wa Idara za Serikali wapo wapi?
Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa serikali.
Mkaguzi ulishalichanganua na kila mtu analijua
Naomba hili la Mdhibiti unichanganulie! kinachidhitiwa ninini?
 
Kimbunga uko sahihi. Watu hawaelewi hivi vitu ukisha kuwa na TOR huwezi kwenda zaidi. Halafu CAG ni tofauti na Takukuru. Ukiweza tofautisha hv vitu utajua limitations zao!

Mkuu ni sahihi kabisa. Ile kazi wangepewa TAKUKURU. Naweza kukubaliana na watu kwamba CAG angeikataa hiyo kazi lakini pia ungekuwa utovu wa nidhamu!!
 
Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa serikali.
Mkaguzi ulishalichanganua na kila mtu analijua
Naomba hili la Mdhibiti unichanganulie! kinachidhitiwa ninini?

Kaka hilo ni jina tu!!

Kinachodhibitiwa ni matumizi ya serikali. Lakini kumbuka CAG anafanya postmorterm audit (post audit) yaani anafanya ukaguzi baada ya kutumia ili kujua kama matumizi yalifanyika kwa kufuata utaratibu. Kwa maana ya kudhibiti (lay man language) ingekuwa anadhibiti kabla ya kutumia ili kujua kwamba kinachotakiwa kulipwa kimefuata taratibu na kina viambatanisho vyote. Hapa CAG angetakiwa kufanya Pre audit yaani kukagua kabla ya kulipa. Lakini CAG anafanya ukaguzi baada ya kulipa. Sijui kwa maana yako neno kudhibiti linafaa hapa?

Ili kudhibiti matumizi kila afsa masuhuli (accounting Officer) huwa wanakuwa na kitu kinaitwa examination au pre audit ambayo si kazi ya CAG; kuna idara zingine hii kazi hufanywa na internal auditors (japokuwa haipaswi kuwa hivyo) lakini sehemu nyingine huw ni kitengo kilichopo uhasibu (ndivyo inapaswa kuwa) ndicho kinachopitia viambatanisho vya malipo kabla ya kulipa uli kujiridhisha kwamba mambo yapo sawa. Nimeyaona japokuwa mimi si mtu wa fedha.
 
Nakumbuka walisema KMK asingetumia ile press briefing ya CAG angetumia report aliyokuwa nayo mkononi.

Hata kwenye report aliyokuwa nayo mkononi nayo ilikuwa na makosa, na KMK alitumia statement moja ambayo iliandikwa na CAG kwenye report kwamba, "fedha zilizokusanywa hazikufika shilingi bilioni moja na wala taasisi zilizochangishwa hazikuwa 20, so Bunge lilisema uongo". Ndiyo maana Kamati Teule ilimtuhumu CAG kuwa alishiriki dhambi ya kuficha uchafu. Quotations za KMK kumsafisha Jairo zilitoka kwenye Report ya Utoh.

In addition, Press Briefing ya CAG ilitakiwa itokane na kile alichokuwa ameandika kwenye report kubwa. So, kama Press Briefing ilikuwa na madudu na ni briefing ya report, then the report too was full of madudu.

It is shameful report ya wabunge kuonyesha mpaka jinsi malipo yalivyobadilishwa kutoka Sh. 20,000 mpaka Sh. 120,000 na huyo Mzee na Timu yake wakiwa wamesomea kugundua hizo forgery wakashindwa kubaini. Bado watu watakuwa na imani na huyo mtu?

Sasa hivi Utoh akisema chochote sijui kama mtu atakuwa anamwelewa au kumwamini, kwa kuwa tayari alishaingiza politics kwenye profession yake. So, whether anachokiongelea ni hoja za msingi profession-wise au la, image yake imeishaharibika na watu hawana trust naye tena.
 
Hata kwenye report aliyokuwa nayo mkononi nayo ilikuwa na makosa, na KMK alitumia statement moja ambayo iliandikwa na CAG kwenye report kwamba, "fedha zilizokusanywa hazikufika shilingi bilioni moja na wala taasisi zilizochangishwa hazikuwa 20, so Bunge lilisema uongo". Ndiyo maana Kamati Teule ilimtuhumu CAG kuwa alishiriki dhambi ya kuficha uchafu. Quotations za KMK kumsafisha Jairo zilitoka kwenye Report ya Utoh.

In addition, Press Briefing ya CAG ilitakiwa itokane na kile alichokuwa ameandika kwenye report kubwa. So, kama Press Briefing ilikuwa na madudu na ni briefing ya report, then the report too was full of madudu.

It is shameful report ya wabunge kuonyesha mpaka jinsi malipo yalivyobadilishwa kutoka Sh. 20,000 mpaka Sh. 120,000 na huyo Mzee na Timu yake wakiwa wamesomea kugundua hizo forgery wakashindwa kubaini. Bado watu watakuwa na imani na huyo mtu?

Sasa hivi Utoh akisema chochote sijui kama mtu atakuwa anamwelewa au kumwamini, kwa kuwa tayari alishaingiza politics kwenye profession yake. So, whether anachokiongelea ni hoja za msingi profession-wise au la, image yake imeishaharibika na watu hawana trust naye tena.

Siwezi kukubishia moja kwa moja. Nadhani katika sakata lote hili kuna mambo hayakwenda sawa. Mkanganyiko ulitokana na terms of reference na ndio maana hata katika mahojiano na kamati teule ya bunge kulikuwa na kutofautiana kati ya CAG na KMK. Kwa maoni yangu ilikuwa ni busara CAG kuikataa hiyo kazi baada ya kuona TOR na kujua kwamba zisingemsaidia katika kufanikisha ukaguzi wake.
 
bwana utouh toka siku uliposimama ukamtetea Jairo na kudhalilisha taaluma yako nilikudelete
 
Kila mtu mjuaji sasa, mambo aliyosema CAG ni professional na ndivo ilivo. Kama ungekuwa na taaluma hiyo ungeweza kuelewa anachosema. Tatizo kila kitu tumefanya siasa kama wanasiasa wetu wanavofanya.
Kupondo ndo fashion ya jf.
Hakuna anayeweza kujua kila kitu, ungeandika msg yako ukiomba ufafanuzi tungekusaidia maana yake nini badala ya kujifanya unajua mambo usiyoyajua.

Hawahawa MAPROFESSIONAL ndio wanaosaini mikataba mibovu
 
Nimesoma kwa masikitiko makubwa kile kilichoandikwa katika gazeti la habari leo la jana tarehe 5/12/2011 likimnukuu Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali akiwalaumu watendaji mbalimbali wanaohusika katika usimamizi wa miradi ya maendeleo kwa kushindwa kusimamia miradi hiyo na hivyo kupelekea ongezeko kubwa la 'Special Audits' hapa nchini. Alidokeza pia kaguzi hizi zimesababisha ofisi kushindwa kutekeleza wajibu wake kikamilifu.

Katika gezeti la leo (6/12/2011) la Habari leo Waziri wa Fedha alionyesha kushangazwa kwake na mzigo huo unaosemwa na CAG.

My take:
Kwa ujumla CAG anaupotosha umma kwa sababu ukiangalia sheria ya ukaguzi wa umma, Public Audit Act, inampa mamlaka yote ya yeye kuamua nini cha kukagua na kwa wakati gani. Sheria hiyo imeainisha wazi kabisa ya kwamba hakuna chombo au mamlaka yoyote itakayomuamuru nini cha kuchagua. Vyombo au mamlaka nyingine vitamuomba kukagua na kama ataridhia basi kazi hiyo itafanyika.

Cha kusikitisha huyu mheshimiwa CAG anaupotosha umma na kuonyesha ya kwamba alikuwa anashurutishwa kufanya kaguzi hizo za special. Hili si la kweli nadhani mwenye udhaifu ni yeye pale anaposhindwa kusimamia sheria inayompa mamlaka ya kuamua ni nini akague na nini asikague.

Pili, ni ukweli uliowazi ya kwamba 'quality' ya kaguzi zinazofanywa na ofisi ya CAG na yenyewe inachangia sana kuwepo na kaguzi hizi za special. Inasikitisha pale unapoona mradi wa maendeleo ambao ni wazi kabisa umetekelezwa kwa uzembe na udhaifu mkubwa lakini ofisi hii inatoa hati safi kwa wahusika. Wananchi wanapotoa malalamiko yao ndipo hapo uamuzi wa kaguzi maalumu unapochukuliwa. Hivyo ofisi hii inaposhindwa kutekeleza wajibu wake inachangia hili.

Na katika maelezo ya CAG hajalisema hili hata kidogo. Hapo ndipo napooona upotoshaji. Yeye kafanya nini kuboresha utendaji wa ofisi yake katika kaguzi za miradi ya maendeleo? Je, ni kwa nini alikubali kukagua kila aina ya ukaguzi anao-amriwa na serikali na vombo vingine? Je, alikuwa anafanya wajibu wake professionally? Je, katika hizo kaguzi za special alizofanya ameweza kuwaainisha watendaji wanaokwamisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo na hatua gani zimechukuliwa dhidi ya maofisa hao?

Ni muhimu aache siasa na kutumia vyombo vya habari kupaka watu watope huku naye akiwa na madhaifu mengi tu.

Mbaya zaidi ndugu yangu CAG amekuwa mwongeaji mno na ukiangalia hata hoja zake sometimes zinakuwa very much immaterial na mara kadhaa amekuwa si msaada kwa taasisi ktk kuzijengea uwezo.
 
Kila mtu mjuaji sasa, mambo aliyosema CAG ni professional na ndivo ilivo. Kama ungekuwa na taaluma hiyo ungeweza kuelewa anachosema. Tatizo kila kitu tumefanya siasa kama wanasiasa wetu wanavofanya.
Kupondo ndo fashion ya jf.
Hakuna anayeweza kujua kila kitu, ungeandika msg yako ukiomba ufafanuzi tungekusaidia maana yake nini badala ya kujifanya unajua mambo usiyoyajua.
unadhani avator akiwa magufuli ndo tutakubali pumba zeenu wakati naye ni gamba tu
 
Tangu alipomwogesha JAIRO,
SINA MZUKA NA UTTOH,

Ningeweza kuufundisha umma wote au kuuambia umma wote ni nini maana ya Audit, au hata kuelewesha Umma juu ya misamiati mitatu inayotumika wakati mkaguzi anatoa report ningefanya hivyo.

Kama unafuatilia CAG hakumsafisha Jairo bali Luhanjo, CAG alitoa Audit Opinion hii yenye BLUE hapa chini:

1. Un modified Audit Opinion
2. Modfied Audit Opinion
3. Disclaimer Audit Opinion

Asiyejua kazi yake kulaumu lakini sisi wenye professional hii twajua CAG alifanya nini?
 
huyu jamaa ndio keshaharibikiwa naye na hii inanipa machungu sana.
Hii inadhiirisha kuwa ukishakuwa mteule wa serikali ya ccm utake usitake ni lazima ufanane nao na ndio kilichomtokea mzee Utoh baada ya kujijengea heshima kubwa katika nyanja ya uhasibu.
Udhiirisho wa mwisho kabisa juu ya hoja hii ni assignment ndogo tu ya akina Jairo!
...sitaki niamini kama nchi hii imelaaniwa
 
Ningeweza kuufundisha umma wote au kuuambia umma wote ni nini maana ya Audit, au hata kuelewesha Umma juu ya misamiati mitatu inayotumika wakati mkaguzi anatoa report ningefanya hivyo.Kama unafuatilia CAG hakumsafisha Jairo bali Luhanjo, CAG alitoa Audit Opinion hii yenye BLUE hapa chini:1. Un modified Audit Opinion2. Modfied Audit Opinion3. Disclaimer Audit OpinionAsiyejua kazi yake kulaumu lakini sisi wenye professional hii twajua CAG alifanya nini?
Naomba nitoe maana ya Disclaimer Audit Opinion kama inavyopatikana ukurasa wa 97 wa ripoti ya CAG ya 2009/2010 kwa serikali kuu:
Disclaimer of Opinion
A Disclaimer of Opinion, commonly referred to simply as a Disclaimer, is issued when I could not form, and consequently refuse to express an opinion on the financial statements. This type of opinion is expressed when I tried to audit an entity but could not complete the work due to various reasons and therefore I do not issue an opinion. Certain situations where a disclaimer of opinion may be appropriate includes: lack of independence, or, when there are significant scope limitations, whether intentional or not,or when one refuses to provide evidence and information to me in significant areas of the financial statements and when
there are significant uncertainties within the auditee.
Mwisho wa kunukuu.
 
Back
Top Bottom