Bwana Mwakyembe, hivi ni kweli Taifa haliitaji "Katiba Mpya"?

mwembemdogo

JF-Expert Member
Feb 28, 2016
2,282
1,251
Hakika sikutegemea Mwanasheria aliyabobea katika masuala ya Sheria Na Waziri wa Sheria Na Katiba Mh.Mwakyembe angetamka maneno hayo yeye.Mh.Mwakyembe alipaswa kuwa mstari wa mbele kumshauri Mh.Rais umuhimu wa Nchi kuwa Na Katiba Mpya ukizingatia Serikali imetumia mamilioni ya Fedha za Masikini wa Tanzania ktk Tume ya Warioba Na Bunge la Katiba.Hakika inashangaza sana kutokamilisha mchakato wa katiba mpya.Nawaomba Watanzania tupaze sauti zetu tudai Katiba Mpya.
 
Wakulaumiwa ni wale waliomshupalia Jk asiitishe Kura ya Maoni kwa kuwa tu Serikal 3 zilikataliwa wakat mambo Mengi ya msingi yalipita, jk alijua Kabisa Utawala mpya usingependa Katiba Mpya lakin wale Wanasiasa wetu waliokuwa na weledi wa Kisiasa wakadhan wanamkomoa Jk. Kwny Siasa lazima uwe Mjanja wa kutumia Fursa kadri zinapojitokez

Mwakyembe kazungumza Kama Mwansiasa sio Mwanasheria Kwan hata Mzee Kingunge Ngombale Mwiru aliwahi kumuwakia jk kwa kuanzisha mchakato wa Katba mpya bila ya ridhaa ya CCM wakat Jk alifanya hivyo alijua CCM kamati kuu wangekataa alisema Si kipaumbele lakin Siku hizi yupo UKAWA anapigania ile Katiba Mpya
 
Hivi mazee hamstuki mimi nahis tumepoteza na tumepotea

Hii haijawahi tokea kwenye sura ya ulimwengu
 
Back
Top Bottom