Waungwana,poleni na kazi!! Nina swali nahitaji msaada!! Ningependa kufahamu about kampuni zinazo-deal na namba za simu zinazotumika zaidi kwa masuala ya bahati nasibu na mengine sawa na hayo. am talking abt numbers like 15550, 15570, na zingine kama hizo!! am talking abt zile namba ambazo wakati mwingine zinatumika mtu kupata matokeo Barclay league just by texting UKSOKA!Wadau wa hizi namba ni hizi kampuni za simu za kawaida( lyk Vodacom, Tigo etc) au? Nina bonge la money making idea ambayo am sure none of the company can undermind it unless if they're NOT FOR PROFIT company.
MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA YANAWEZEKANA!!!
MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA YANAWEZEKANA!!!