canaan Member Mar 1, 2008 46 6 Jul 10, 2011 #1 Wakuu mlio kuwepo tujuzeni,nani alikuwa mshindi kati ya hao wawili huko mbeya?
Mkare_wenu JF-Expert Member Mar 11, 2011 1,714 442 Jul 10, 2011 #2 Tatizo ni kwamba walioenda Fiesta walimiss Burudan Nyumban and viceversa,so inakuwa ngumu kutoa ushuhuda
Tatizo ni kwamba walioenda Fiesta walimiss Burudan Nyumban and viceversa,so inakuwa ngumu kutoa ushuhuda