Mau Senior Member Apr 8, 2009 176 10 Nov 7, 2011 #1 Tulikupenda na tulikuhitaji lakini Mungu ana haja nawe. Itatuchukua muda sana kukusahau. Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina la Bwana libarikiwe
Tulikupenda na tulikuhitaji lakini Mungu ana haja nawe. Itatuchukua muda sana kukusahau. Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina la Bwana libarikiwe
baina JF-Expert Member Oct 12, 2010 219 59 Nov 8, 2011 #2 Kama alikuwa ni magamba basi mie hata sara simuombei.
M Mr Rocky JF-Expert Member Oct 10, 2007 15,178 14,351 Nov 8, 2011 #3 Mungu akulaze pema my Learned Brother Anthony