na ww bure kabisa...........Naisi Wengi bado tuna matatizo ya Lugha kama tulivyoambiwa, hapa Mh alimaanisha Fau Yuko?..means Mh Faustine wa yuko? :tape2:
Tena kabisa leo asubuhi namsikia Naibu spika akihojiwa na Redio One Kumepambazuka kuhusu adhabu kwa mbunge atakaye toa lugha za matusi bungeni akawa anarudiarudia kuwa atatolewa nje na polisi sasa napata shida kuamini kama huyo alikuwa mbunge au mgeni mwalikwa
Hahahahahaha inkoskaz ur pro mdimu mnajua serukamba alichowafanya kwenye uchaguzi wa jumuiya za wazazi ccm, uwt, uvccm nmegundua unaposema aspewe kura ata na wife kumbe una ajenda ya kisiasa kwanini wasianze na mwigulu nchemba na nkamia polus hamis kgwagwala
Labda Spika alikataza matusi yasitolewe kwa lugha ya kiswahili