jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,323
Mimi na dhani kitu alicho kusudia lisu ni kuomba kwanza idhini ya naibu sipika ili ampe nafasi ya kuwa kirisha hoja.kabla hajapewa nafasi ya kuwa kirisha hoja akajibiwa kuwa hoja yako haijaungwa mkono na wabunge.wakati huohuo lisu alikuwa bado haja wakirisha hoja alio kuwa amekusudia kuwakirisha.me sijaelewa hapa kwani hoja ambayo haikuungwa mkono na wabunge ni ipi wakati lisu inaonekana alikuwa bado haja wakirisha hoja yake alikuwa anaomba nafasi iliaweze kuwakirisha.
Na ndivyo kanuni inadadavuka, hakika ole wao waamuzi wazipindishao hukumu, tazama wao ni chukizo kwa mungu.