Edson
JF-Expert Member
- Mar 7, 2009
- 9,846
- 5,076
safi sana nawapata vema kuna mbunge anamwaga nondo kuhusu uuzwaji wa majengo kwa mohamed enterprises nk sijajua ni nani huyu.
alphaxad wa mwibala
safi sana nawapata vema kuna mbunge anamwaga nondo kuhusu uuzwaji wa majengo kwa mohamed enterprises nk sijajua ni nani huyu.
mkulo must go
Nimemkubali sana Mhe. Lugola anavyompiga mawe Mwanachama wenzie Mustapha Mkullo...
Duh! Kumbe Madiwani huwa wanalipwa Sh 4000 kwasiku akiwa kikaoni! Ngoja niendelee kubangaiza.
hahahaha si kwa jk mkuu hatoki mkuuu hapo!