Mkuu naona siasa imekupita mkono wa kushoto, Mhe. Kafulila siyo mbunge wa CDM, ni mbunge kupitia NCCR-Mageuzihizo ni kelele za wapumbavu wa CDM, hakuna lolote hapo. Mwisho wa maneno ni kwenye kupiga kura na hapo ndio mtajua nini maana ya kuwa na wabunge wachache.
CCM ndio dume lenu nyie.