Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
endelea kutuletea habari
jamani na magazeti tutauzaje kesho ...mpwa tuhurumie tusijekosa mishahara mwaya
endelea kutuletea habari
Yaani huyu mbunge ndio kibuyu kabisa,mtume kama alisafiri ndio ajustify hata rais nae asafiri........anataka kuleta udini kwenye maslahi ya taifa.paaaaaaaaaaaaambufKuna mtu wa CCM anatema cheche za pumba sijapata kuona, Selemani Jafo wa Kisarawe kadai safari za Kikwete ni sawa kabisa kwa sababu Mtume alikuwa akisafiri sana kufanya study tour, pumba fulani hata hazieleweki, hivyo kawashutumu wanaomkosoa Kikwete kwa safari.
Hapo ni pumba kwenda mbele.
Hawa jamaa hata wangepelekwa israel isingesaidia.Wenzetu wanachagua watu wenye uwezo mkubwa wa akili sisi tumegeuza usalama urithi wa familia.Kama wewe ni usalama unaliingiza lile toto lako lililofeli kisa eti tulijngewa imani ya kutokuhoji kazi zao.Codes and ethics za usalama wa taifa zinategemea umefundishwa wapi, kama ni USSR basi usalama ni wa chama. Kama ni Israel basi unapata ile cream ya usalama wa taifa. Sasa sijui kama hawa jamaa wa CCM wanaelewa kitu. Maana hata documenti nyingine chafu za kifisadi bado zinaitwa nyara za serikali. Usalama wa taifa unatakiwa kuexpose all dirty documents. Labada hawana hata policy mbalimbali za kuwasaidia katika utendajia wao wa kila siku. Kwa kweli usalama wa taifa/CCM bongo ipo kazi.
Hawa jamaa ni burudani sana hapa nchini,mara utaambiwa ooh huyu kichaa ni usalama,mara utasikia ooh huyu mama muuza mandazi ni usalama.
Sisi tunaopenda baa tunatishiwa eti ooh walevi wengi ni usalama;basi wale tunaowaogopa hao ndugu tunaacha bia kwa sababu tunaambiwa tena et ooh ni watu hatari.
Kimsingi mimi sijui kazi zao haswa ni zipi.
hahahaahaaaaa.....Siwezi amini, kuna mbunge anamtetea Wassira kwa kulala Bungeni eti kadhalilishwa na picha, eti anamjua ni mfanyakazi hodari toka akiwa naibu waziri mwaka 1970 mpaka 1975
Kwa hiyo JK anaongozana mara nyingi na huyu Maji Marefu uko ughaibuni!!! sasa hapo utaona jinsi gani hizo safari hazina faida kwa nchi yetu, huyu si mganga wa kienyeji anaejiita Profesa!!
hahaah damn ! Ccm na wajinga na wajinga na ccm ! Hahaah chama cha mazuzu.Kuna mtu wa CCM anatema cheche za pumba sijapata kuona, Selemani Jafo wa Kisarawe kadai safari za Kikwete ni sawa kabisa kwa sababu Mtume alikuwa akisafiri sana kufanya study tour, pumba fulani hata hazieleweki, hivyo kawashutumu wanaomkosoa Kikwete kwa safari.
ndio akili za magambaAnatoa ulinzi kwa mheshimiwa rais, sim unakumbuka mlinzi wake wa zamani ameshatangulia mbele za haki.
waheshimiwa bungeni kumewaka moto mheshimiwa Msigwa alikuwa akichangia wizara ya utumishi wa uma awaelezea ukwel usalama wa Taifa kuwa wamekuwa usalama wa CCM na ni si usalama wa taifa.
Anasema wamekuwa wamekuwa wakikandamiza vyama vya upinzan wakati rasilimal za Taifa kama wanyama hai zaid ya 120 wakiibiwa wakati usalama wa Taifa wapo. Aongelea pia kuhusu Suala la rushwa kwa Dr Hosea kunyimwa makucha katika kukamata vigogo.
Director,Ndio si lazima sana kujua kazi zao,lakini cha msingi watu wajue kuwa hawa ndio moyo wa Taifa linapokuja swala la USALAMA WA TAIFA.yaani mambo yote yanayotishia ustawi wa maisha yangu mimi,wewe,jirani yako,mkweo,binamuyako,shangaziyako,mwanao,na kizazi cha mtoto wako,hawa ndio watu wa kwanza kujua.Na pengine kwa faida yako unaweza wewe na watanzania wengine tusijue kuwa kunawakati adui alikusudia kutudhuru lakini kwa uwepo wao na ujuzi wa kutambua wanakabilina nae juu kwa juu,kisha wanapima faida za kuweka wazi jambo hilo au kukaa kimya. Wakiona kukaa kimya ni heri kwa faida ya nchi basi wanachuna.Wanakuacha wewe tajiri unakula bata na mkeo Ndani wao wako nje wanateseka na baridi kukulinda,kwa sababu wewe ni mlipa kodi ya Taifa hili unastahiki kulindwa kupitia kodi yako unayolipa. Mfano nitatumia mfano wa masai mlinzi uliyemuacha pale mlangoni si lazima kila siku akwambie kuwa kuna watu wangapi walipita nje ya geti lako au mlango wako.
Ni kazi inayotegemea akili sana [Intellectul]
Maji marefu anadai kuwa anatembea sana na jk,rais anajitahid sana KUOMBA MISAADA