johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,107
- Thread starter
- #21
Mfanyabiashara hana kitu cha bei nafuu zaidi ya kile kinachokaribia kuoza!Cha muhimu tupate mafuta yenye ubora kwa bei nafuu ili bidhaa zetu zishuke bei na maisha yaendelee