masaburi yuko sahihi namuunga mkono kwani ukiangalia ata kitendo cha yeye kujadiliwa bungeni si cha maana, yaani Bunge lilishindwa kujadili mgomo wa madaktari watanzania wakafa pasipo na idadi sasa wanatumia muda vivaya kujadili kauli ya masaburi.
Masaburi yuko sahihi namimi namuunga mkono na naongezea sio wabunge wa Dar es salaam pekee bali ni wabunge wote wanafikiri kwa kutumia masaburi
Inawezekana ni kweli hao wabunge wa kwenu ndio wanaofikiria MASABURI.
Na inaelekea hata nyinyi wapiga Kura wao mnatumia vitokavyo katika MASABURI yenu kwanza, ndio mwaenda kupiga Kura. Maana ndio Mungu kayaweka ktk vichwa vyenu.