Bunge lamjadili Masaburi


masaburi yuko sahihi namuunga mkono kwani ukiangalia ata kitendo cha yeye kujadiliwa bungeni si cha maana, yaani Bunge lilishindwa kujadili mgomo wa madaktari watanzania wakafa pasipo na idadi sasa wanatumia muda vivaya kujadili kauli ya masaburi.

Masaburi yuko sahihi namimi namuunga mkono na naongezea sio wabunge wa Dar es salaam pekee bali ni wabunge wote wanafikiri kwa kutumia masaburi

Inawezekana ni kweli hao wabunge wa kwenu ndio wanaofikiria MASABURI.
Na inaelekea hata nyinyi wapiga Kura wao mnatumia vitokavyo katika MASABURI yenu kwanza, ndio mwaenda kupiga Kura. Maana ndio Mungu kayaweka ktk vichwa vyenu.
 
Hoja ya msingi ni wabunge wa Dar kwa mambo wanayofanya inawezekana kabisa hawatumii mfumo wa kawaida kufikiri labda kuna vitu vingine kama sio masaburi vinatumika kufikiri.

Wachunguzwe wabunge kwanza manake yapo mambo ya muhimu na yalazima walipaswa kuyajadili sasa lakini wanakaa vikao kujadili kutukanwa kwao.

Kuna mbunge alisema hatokubali watu wahamishwe mabondeni, matokeo yake bunge limeona na wala wanajiona hawahusiki nalo wakati wahanga bado mustakabali wa maisha yao hayajulikani, mwingine anaona madaktari wanatunishiana msuri na serikali bila hata kufikiri anayeumia nani wanashabikia mgomo wakati wenyewe hata hawahudumiwi na madaktari hao.

Wengine wako na mafisadi miaka zaidi ya mitano anapambana nao tu, wengine wanachapa usingizi na kudai waongezewe posho.
 
Prince+Charles+of+Wales+%2528kulia%2529+akisalimiana+na+Meya+wa+jiji+la+Dsm+Dr.+Dida+s+Masaburi+alipowasili+ktk+viwanja+vya+karimjee+le.jpg

Huhuhuhuhu! Eti wabunge wanafikiria kwa kutumia masaburi teh!
 
Hiyo kamati wakitumia hata dk 20 kujadili kauli yake kuhusu wabunge watakuwa wanataa posho tu. Wnachotakiwa kuajdili na chenye tja kw awatanzania ni uuzaji wa uda na asset zake.

Hyo mambo ya "kufiiri kutumia masaburi" lengo kuu kama sio ya "posho" walitakiwa wamjadili kitambo.


Bunge lisitake kujiona kama "mungu fulani "Rais mwenyewe mbona alichorwa kwenye utamu na kamati ya bunge hatukusikia....


Wakitaka kuonyesha umakini wao wajadili kauli tata za viongozi kuhusu posho za wabunge na UUzaji wa UDA.......
 
Kwanza wangethibitisha kama kweli hawatumii masaburi kufikiri, kisha wakijiridhisha kua kweli hawatumii then wamjadili. Otherwise watakua hawamtendei haki. Kwa sisi wananchi tunaona kweli wanayatumia mwanzo mwisho
 
Duh! Kwa kweli alitoa tusi lisilo la kitaasisi na anastahili kufundishwa nidhamu ya kiuongozi. Kama mimi nilisema ukweli tu niko mbioni kufukuzwa chamani, iweje kwa huyu kigogo aliyesema watu wanafikiria kwa kutumia 'Masaburi?' Maana watu hufikiria kwa kutumia brain, na ukiambiwa tu kwamba unafiiria kwa kutumia spinal cord (ambayo ni mfumo huo huo wa fahamu) unaweza kupigana, vipi ukiambiwa unatumia 'muscles za makalio' kufikiri??? Nadhani ni sawa na mtu kukuambia hauna ubongo kabisa!

Kigwangalla siku nyingine ukiamka vizuri unatoa mchango wa maana; sasa kama unaamini ulisema ukweli na wenzio katika hicho chama chenu hawataki ukweli bali uongo na unafiki how do you reconcile yourself to work with such fools? Unless unanjaa kali sana lakini nadhani sio hivyo kwani mradi wa pamba lazima unaweza kuwa cushion nzuri tu hata ukifukuzwa!!
 
Yeye wakati anatoa hii kauli alikuwa anatumia masaburi...sasa inakula kwake.
 
Duh! Kwa kweli alitoa tusi lisilo la kitaasisi na anastahili kufundishwa nidhamu ya kiuongozi. Kama mimi nilisema ukweli tu niko mbioni kufukuzwa chamani, iweje kwa huyu kigogo aliyesema watu wanafikiria kwa kutumia 'Masaburi?' Maana watu hufikiria kwa kutumia brain, na ukiambiwa tu kwamba unafiiria kwa kutumia spinal cord (ambayo ni mfumo huo huo wa fahamu) unaweza kupigana, vipi ukiambiwa unatumia 'muscles za makalio' kufikiri??? Nadhani ni sawa na mtu kukuambia hauna ubongo kabisa!

Mkuu Maswali Kidogo maana wewe ni Kiongozi na kauili zako ni vema zihakikiwe kama za kiongozi mwingine yeyote mwenye dhamana:

  1. Ulisema Ukweli gani?
  2. Uko Mbioni kufukuzwa chamani:
    1. Kufukuzwa na nani?
    2. Umefanya nini?
    3. Lini utafukuzwa
  3. Kwa kuweka hapa mambo ambayo hujatoa ushahidi, huoni kuwa wewe kama kiongozi unajiingiza kwenye mambo ya mipasho na kujishusha hadhi?
  4. Nini kimekusukuma kuyaandika hayo hapa maana hayana uhusiano kabisa na topic husika?
 
Duh! Kwa kweli alitoa tusi lisilo la kitaasisi na anastahili kufundishwa nidhamu ya kiuongozi. Kama mimi nilisema ukweli tu niko mbioni kufukuzwa chamani, iweje kwa huyu kigogo aliyesema watu wanafikiria kwa kutumia 'Masaburi?'

Maana watu hufikiria kwa kutumia brain, na ukiambiwa tu kwamba unafiiria kwa kutumia spinal cord (ambayo ni mfumo huo huo wa fahamu) unaweza kupigana, vipi ukiambiwa unatumia 'muscles za makalio' kufikiri??? Nadhani ni sawa na mtu kukuambia hauna ubongo kabisa!

Unajuwa Dr nilikuwa siliamini hili juu ya wewe kuwa hatiani kufukuzwa baada ya kusema ukweli,ni jambo la kushangaza sana pale unapotakiwa kusema uongo ndio uonekane shujaa sielewi wapi tunaelekea

Lakini wakati una apa kunasehemu inasema "nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko" sasa inakuwaje husemi huu hautakiwi tena na chama?

lakini Dr ukweli utakuweka huru daima
 
Mkuu Maswali Kidogo maana wewe ni Kiongozi na kauili zako ni vema zihakikiwe kama za kiongozi mwingine yeyote mwenye dhamana:
  1. Ulisema Ukweli gani?
  2. Uko Mbioni kufukuzwa chamani:
    1. Kufukuzwa na nani?
    2. Umefanya nini?
    3. Lini utafukuzwa
  3. Kwa kuweka hapa mambo ambayo hujatoa ushahidi, huoni kuwa wewe kama kiongozi unajiingiza kwenye mambo ya mipasho na kujishusha hadhi?
  4. Nini kimekusukuma kuyaandika hayo hapa maana hayana uhusiano kabisa na topic husika?

mbona haya mambo yamejadiliwa sana kile kipindi cha mgomo wa Madaktari,labda hukuwa makini kufuatilia ila sasa ndio umeona kweli laweza kuwa jambo

lakini issue ilijadiliwa sana ikimhusisha HK na Makamba
 
Lakini BUNGE na KAMATI YA BUNGE ni vitu viwili tofauti sana!

Iwe bunge au kamati vyote ni bure tu! Baada ya kujadili wizi wa wanyama hai na Jairo nini kimefanyika na wao wamefanya nini? Wakimaliza Meya waambie waache kubwabwaja ka wendawazimu.
 
Kwanza wangethibitisha kama kweli hawatumii masaburi kufikiri, kisha wakijiridhisha kua kweli hawatumii then wamjadili. Otherwise watakua hawamtendei haki. Kwa sisi wananchi tunaona kweli wanayatumia mwanzo mwisho

Well said:)
 
Inawezekana ni kweli hao wabunge wa kwenu ndio wanaofikiria MASABURI.
Na inaelekea hata nyinyi wapiga Kura wao mnatumia vitokavyo katika MASABURI yenu kwanza, ndio mwaenda kupiga Kura. Maana ndio Mungu kayaweka ktk vichwa vyenu.

mbona unaandika kama vile unatumiwa na waziri mkuu wa uigereza awapo katika starehe zake baada ya kazi?
 
Huyu malio sorry masaburi ana shahada ya kughushi ya udaktari. Hata bachelor wala masters hana zaidi ya CPA ya kughushi nayo. Fisadi mkubwa na ni rafiki wa tapeli mwingine aitwaye Makongoro Mahanga.
 
Mkuu Maswali Kidogo maana wewe ni Kiongozi na kauili zako ni vema zihakikiwe kama za kiongozi mwingine yeyote mwenye dhamana:
  1. Ulisema Ukweli gani?
  2. Uko Mbioni kufukuzwa chamani:
    1. Kufukuzwa na nani?
    2. Umefanya nini?
    3. Lini utafukuzwa
  3. Kwa kuweka hapa mambo ambayo hujatoa ushahidi, huoni kuwa wewe kama kiongozi unajiingiza kwenye mambo ya mipasho na kujishusha hadhi?
  4. Nini kimekusukuma kuyaandika hayo hapa maana hayana uhusiano kabisa na topic husika?

nadhani alikuwa anajaribu kuonyesha madhara ya kauli za viongozi wakati mwingine zinaweza kuhatarisha mshikamano na umoja wa wananchi

hata hivyo hili ni swali zuri kwa DR kutupa ufafanuzi zaidi wa kile kilichomkuta huko kwenye vikao hadi ifikie atake kutimuliwa chamani.
 
Back
Top Bottom