Makorokoro Bondeni
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 524
- 809
Kweli hao ni wabane wa duniaHiyo Yemen ni kitu gani mbele ya wabane wa dunia?
Kweli hao ni wabane wa duniaHiyo Yemen ni kitu gani mbele ya wabane wa dunia?
Hapa patamu. Ngoja tuone wazungu wakitoa mimacho kama kenge.Bunge la Yemen leo limepitisha rasmi kuwa sheria na kutambua serikali za Uingereza na marekani kama mtandao wa ugaidi duniani.
Hii maana yake ni kwamba kuanzia leo Uingereza na marekani ni maadui wa Yemen kisheria na kwamba kwa namna yeyote ile wanapokutana ni mapambano tu.
View attachment 2878572
Imani hii ni tata sana!! Nadhani wote subirini moto tuBunge la Yemen leo limepitisha rasmi kuwa sheria na kutambua serikali za Uingereza na marekani kama mtandao wa ugaidi duniani.
Hii maana yake ni kwamba kuanzia leo Uingereza na marekani ni maadui wa Yemen kisheria na kwamba kwa namna yeyote ile wanapokutana ni mapambano tu.
View attachment 2878572
Pole. Nguruwe anamwinda SimbaWewe unadhani ugaidi maana yake nini? Kumpa silaha na fedha Israeli awauwe wapalestina huo ni ugaidi.
Ulijuaje?Sasa watampiga nani wakati US au UK hana base yeyote Yemen...?
Sentensi ya mwisho ni tamu sana 🤣🤣🤣Yemen ni moja ya nchi masikini dunisni, tena ni maskini mpaka wana funza kwenye miguu, hawana impact yoyote kwa maamuzi hayo, yaani wanajisumbua tu. Badala ya kudeal na umaskini wao wanajitutumua kushindana na nchi ambazo zimewaachw mbsli miaka mis mojs
Nasubiri matusi kutoka kwa wayemen wa buza
Wababe wasio na malindaHiyo Yemen ni kitu gani mbele ya wabane wa dunia?
Ile dini wao hawana akiliHawapangiwi hao wakiamua wameamua.
Vituko mtandaoni tupia chakoBunge la Yemen leo limepitisha rasmi kuwa sheria na kutambua serikali za Uingereza na marekani kama mtandao wa ugaidi duniani.
Hii maana yake ni kwamba kuanzia leo Uingereza na marekani ni maadui wa Yemen kisheria na kwamba kwa namna yeyote ile wanapokutana ni mapambano tu.
View attachment 2878572
Yemen ni maarufu kuliko tanzania .na ina ardhi kuzidi tanzaniaKumbe kuna nchi inaitwa Yemen
Ooo ivii duniani umaarufu wao unatokana na nini haswaa
Au kwa kuwai mabikiraaa
Kituko hiki.....Bunge la Yemen leo limepitisha rasmi kuwa sheria na kutambua serikali za Uingereza na marekani kama mtandao wa ugaidi duniani.
Hii maana yake ni kwamba kuanzia leo Uingereza na marekani ni maadui wa Yemen kisheria na kwamba kwa namna yeyote ile wanapokutana ni mapambano tu.
View attachment 2878572
Hahaaaaa ,Yemen vichwa vibovu haswaaBunge la Yemen leo limepitisha rasmi kuwa sheria na kutambua serikali za Uingereza na marekani kama mtandao wa ugaidi duniani.
Hii maana yake ni kwamba kuanzia leo Uingereza na marekani ni maadui wa Yemen kisheria na kwamba kwa namna yeyote ile wanapokutana ni mapambano tu.
View attachment 2878572
Hawawezi kupigana na hizo nchi labda kama wanajifurahishaKuitambua kunafuatana na kupigana.