Ngaramtoni
JF-Expert Member
- Sep 10, 2012
- 429
- 61
Leo Jumatatu bunge la Uingereza litakuwa na mjadala wa kihistoria katika siasa za nchi hiyo.Mjadala utakuwa ni kuhusu uwezekapo wa kumzuia mgombea kiti cha urais kwa chama cha Republican Donald Trump kuingia nchini humo kutokana na kauli zake za kibanguzi dhidi ya waislamu.Ikumbukwe kuwa kwenye moja ya mikutano yake ya kampeni alisema kuwa anakusudia kuwazuia waislamu kuingia nchini humo iwapo atachaguliwa kuwa raised was nchi hiyo katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi novemba mwaka huu