QUALITY
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 853
- 115
Leo Anna Makinda (mh. Spika) ameniachaa hoi. Amesimama na kusema kwa mujibu wa kanuni, bunge lintakiwa kuchagua watu watatu watakaosaidia uendeshaji wa Bunge. Akasema vigezo ni kuzingatia jinsia, wagombea wawe ni wenyeviti au makamu wa wenyeviti wa kamati za kudumu. Akasema ... sasa nimeleta kwenu majina matatu ili myapitishe.
ndipo mbunge (mwanamke) akamwuliza kwa kusoma kanuni akisema kanuni inataka spika kuwasilisha majina sita na kati ya hao wachaguliwe watatu. je kuleta watatu si kukiuka kanuni? Hapo ndipo makinda alipoanza kuchemka Oh umeenda mbali!! Oh Tunatumia uzoefu kwa sababu hii ni kazi ngumu!! Oh Tusibishane!!
Mwulizaji akaongeza, kama umevunja kanuni, twambie. Hapo ndipo na Lukuvu kasimama kutetea hoja (akitoa pumba bila kunukuu kifungu cha kanuni kinachompa mamlaka spika kuvunja kanuni na kutumia uzoefu kuendesha bunge).
Je Uzoefu bila kanuni, Tutafika?
ndipo mbunge (mwanamke) akamwuliza kwa kusoma kanuni akisema kanuni inataka spika kuwasilisha majina sita na kati ya hao wachaguliwe watatu. je kuleta watatu si kukiuka kanuni? Hapo ndipo makinda alipoanza kuchemka Oh umeenda mbali!! Oh Tunatumia uzoefu kwa sababu hii ni kazi ngumu!! Oh Tusibishane!!
Mwulizaji akaongeza, kama umevunja kanuni, twambie. Hapo ndipo na Lukuvu kasimama kutetea hoja (akitoa pumba bila kunukuu kifungu cha kanuni kinachompa mamlaka spika kuvunja kanuni na kutumia uzoefu kuendesha bunge).
Je Uzoefu bila kanuni, Tutafika?