Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,620
- 46,260
Bunge la Marekani kwa wingi wa kura za Democrats na Republicans limemuondoa madarakani spika wake kutoka chama cha Republican, Kevin McCarthy.
Hii inakuwa mara ya kwanza kwa spika wa bunge la Marekani (House of Representatives) kuondolewa na wabunge wenzake, pia imemfanya McCarthy kuwa mmojawapo wa maspika waliohudumu kwa kipindi kifupi sana tangu mwaka 1876.
Hii inakuwa mara ya kwanza kwa spika wa bunge la Marekani (House of Representatives) kuondolewa na wabunge wenzake, pia imemfanya McCarthy kuwa mmojawapo wa maspika waliohudumu kwa kipindi kifupi sana tangu mwaka 1876.