Wajumbe wa bunge la katiba watakuwa wameitendea mema nchi na watanzania kwa ujumla ikiwa watafanya yafuatayo:- 1. Kumchagua Captain John Komba kuwa spika wa bunge la katiba. 2. Mzee Kingunge Ngombale Mwiru awe naibu Spika wa Bunge hilo. 3. Lingstone Lusinde(kibajaji) awe Katibu wa Bunge la katiba.