mutabilwa
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 305
- 80
Wanajanvi napata mawazo juu ya nn utakuwa ukumbi wa bunge maalumu la katiba na pia endapo mikakati maalumu ya kuweza kuonyesha Bunge hilo kama imeshaweka wazi.
Tunaweza kuona kama hoja hii si muhimu lakini niwape habari kuwa mabadiliko mengi yaliyotokea miaka michache iliyopita yametokana na kuonekana kwa mijadala mikali pale abungeni na wananchi wakaelewa nn viongozi wao wanafanya.
So, Naomba tulijadili hili na yeyote mwenye mawazo tafadhali huu ni wakati muhimu wa kujenga taifa letu, so tutoe mawazo yetu.
Tunaweza kuona kama hoja hii si muhimu lakini niwape habari kuwa mabadiliko mengi yaliyotokea miaka michache iliyopita yametokana na kuonekana kwa mijadala mikali pale abungeni na wananchi wakaelewa nn viongozi wao wanafanya.
So, Naomba tulijadili hili na yeyote mwenye mawazo tafadhali huu ni wakati muhimu wa kujenga taifa letu, so tutoe mawazo yetu.