Bunge la Amerika lilivyomzuia Rais wao kuridhia DP World kuendesha shughuli za bandari zao

jeoh

Senior Member
Oct 19, 2012
187
185
Mwaka 2006 DP World ya Dubai ilinunua kandarasi ya kuendesha shughuli za Bandari sita za Marekani. Wabunge wa chama tawala na upinzani kwa pamoja waliopinga DPW kupewa kazi hiyo. Wananchi nao walipinga 3:1 katika kura za maoni.

Bunge likapitisha muswada wa Sheria kuzuia kampuni za kigeni kusimamia Shughuli za Bandari ili kulinda usalama wa bandari na wageni kutojihusisha na shughuli za Idara ya Forodha.

Rais George W. Bush alishatishia hatasaini (veto) muswada huo kuwa sheria kwa sababu 'itapeleka ujumbe usiofaa kwa nchi rafiki'.

Mara baada ya muswada kupitishwa na Bunge DP World wakajitoa kwenye uwekezaji huo ili kuondoa msuguano ulioibuka.

Sisi Watanzania tunajifunza nini toka Bunge la Amerika?
 
Huyo spika mwenyewe historia yake amepata kazi ki njama njama, si mnakumbuka?
 
Hili la bandari ccm hawajui watoke nalo vipi. Maana ata kama dp world akija siku ikitokea sintofahamu zigo lote anapewa yeye.
 
Nilichogundua kuwa ukiwasikiliza serikali nunaona kabsa kuwa wako sahhih na pia ukiwasikiliza kina Dr slaa na lissu na wengine wanao kosoa unaona kbsa kuwa wako sahihi

SAS kinachotakiwa hapa n kukutanisha hz team mbili bila bunge kutoka pale watazikilizwa pande zote na ndipo kuibuke na suluhu
 
Mwaka 2006 DP World ya Dubai ilinunua kandarasi ya kuendesha shughuli za Bandari sita za Marekani. Wabunge wa chama tawala na upinzani kwa pamoja waliopinga DPW kupewa kazi hiyo. Wananchi nao walipinga 3:1 katika kura za maoni.

Bunge likapitisha muswada wa Sheria kuzuia kampuni za kigeni kusimamia Shughuli za Bandari ili kulinda usalama wa bandari na wageni kutojihusisha na shughuli za Idara ya Forodha.

Rais George W. Bush alishatishia hatasaini (veto) muswada huo kuwa sheria kwa sababu 'itapeleka ujumbe usiofaa kwa nchi rafiki'.

Mara baada ya muswada kupitishwa na Bunge DP World wakajitoa kwenye uwekezaji huo ili kuondoa msuguano ulioibuka.

Sisi Watanzania tunajifunza nini toka Bunge la Amerika?
Tunajifunza ubaguzi kwa waarabu ni mkubwa sana, maana Bandari hizo hizo zilipewa kampuni za Uengereza.
 
Mwaka 2006 DP World ya Dubai ilinunua kandarasi ya kuendesha shughuli za Bandari sita za Marekani. Wabunge wa chama tawala na upinzani kwa pamoja waliopinga DPW kupewa kazi hiyo. Wananchi nao walipinga 3:1 katika kura za maoni.

Bunge likapitisha muswada wa Sheria kuzuia kampuni za kigeni kusimamia Shughuli za Bandari ili kulinda usalama wa bandari na wageni kutojihusisha na shughuli za Idara ya Forodha.

Rais George W. Bush alishatishia hatasaini (veto) muswada huo kuwa sheria kwa sababu 'itapeleka ujumbe usiofaa kwa nchi rafiki'.

Mara baada ya muswada kupitishwa na Bunge DP World wakajitoa kwenye uwekezaji huo ili kuondoa msuguano ulioibuka.

Sisi Watanzania tunajifunza nini toka Bunge la Amerika?
Achana hoja za Tibaijuka, She is a big looser, hana mvuto tena kwenye siasa sasa anaona shida Mama kutoka Zanzibar anakuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano, kama anaumizwa na nchi angepiga zile hela na kusema ni hela ya mboga tu wakati ni kodi za Watanzania maskini.,

Wanaona Mama anaenda kwa mafanikio ya kasi sana kuifungua nchi sasa wanaleta mawivu yao, Ile bandari ya Dar es Salaam mwaka 1896 ilikuwa chini ya Muarabu saiv bandari miaka 60 imepita chini ya Watanganyika hakuna cha maana zaidi ya takataka na uchafu uliokithiri wananchi wanaumia na kuteseka na njaa na ajira kutokomea kusikojulikana
 
UK
German
South Africa
China
Belgium..


Huko kote mnajifanya hamjui kuwa Dpworld Wana endesha Bandari??
 
UK
German
South Africa
China
Belgium..


Huko kote mnajifanya hamjui kuwa Dpworld Wana endesha Bandari??

Umesha soma terms za UK?
Umesoma terms za south africa?

Terms walizo ingia nazi hao jamaa ni tofauti na zetu, sisi kwetu tumewapa too much power per mkataba. Wkt wenzetu wao ndio wana power and they can terminate.
 
Hapo USA haikuwa ubaguzi kwa Waarabu; mbona raisi aliridhia? Waarabu wamewekeza mabilioni ya $ huko Marekani lakini
Wabunge wa USA wamekataa DPW kuwekeza bandarini kwa sababu za usalama- bandari walisema ni "strategic infrastructure".
 
Back
Top Bottom