Bunge Hili Batili Lizuiwe Kujadili Chochote Kinachohusu Rasilimali za Taifa

Bams

JF-Expert Member
Oct 19, 2010
16,555
41,066
Kila mtu anajua kabisa kuwa hawa waliopo Bungeni, ni wahalifu, hawakuchaguliwa na wapiga kura. Je, ni halali wahalifu wa kupora haki za wananchi za kuwachagua wawakilishi wao kupitia boksi la kura, kufanya maamuzi juu ya rasilimali za Taifa?

Mwizi haachi asili yake. Hawa waliopo bungeni ni majizi ya haki za wananchi. Mtu mwizi tangu lini akafanya maamuzi ya kuzuia mali zisiibiwe. Mwizi anachotafuta ni faida binafsi. Na ndiyo maana tunasikia kuwa baadhi ya wabunge wamehongwa dola 50,000 na magari ya kifahari kuruhusu rasilimali ya Taifa kuibiwa. Hawana uchungu wowote kwa sababu asili yao ni kuiba, wamemsaidia mwizi mwenzao, na kama tuhuma hizo za hongo ni kweli, basi huyo mporaji amekwishawapa mgao wao in advance. Tulioibiwa mali yetu ni sisi wananchi tuliobakia na simanzi.

Wale mawakala wa wevi, wasitupotoshe. Ukweli kuhusiana na uporaji wa bandari ni kwamba:

1. MoU ilisainiwa na mkurugenzi wa bandari, ambaye ni mzanzibari, February 2022.

2. Mkataba ulisainiwa na waziri, ambaye ni mzanzibari, October 2022.

3. Utekelezaji wa mkataba ulianza miezi 3 tangu kusainiwa.

4. Kilichojadiliwa bungeni siyo MoU bali ni mkataba ambao tayari umekwishaanza kutekelezwa.

5. Mkataba uliosainiwa na Waziri baada ya kuridhiwa na Rais ni wa milele, hauna kikomo, wajibu wa Serikali ni kuhakikisha mwekezaji habughudhiwi na Serikali inashirikiana na mwekezaji kutengeneza mfumo wa ulinzi.

6. Siku 1 kabla ya Bunge kuridhia, wabunge hawa waovu walikaa kama kamati ya chama na kuelekezwa kuwa ni lazima waridhie mkataba kwa sababu utekelezaji wa mkataba umekwishaanza.

7. Wabunge waovu, hawakujali maslahi ya Tanganyika, wakaungana na Rais Mzanzibari, Waziri Mzanzibari, Katibu wa Wizara Mzanzibari na mkurugenzi wa Bandari Mzanzibari, kuuza bandari za Tanganyika.

Tafsiri ya Kilichoidhinishwa:
Waarabu watamiliki maeneo yote ya kuzunguka bandari na bandari yenyewe kwa muda usio na kikomo. Maana yake ni kwamba maeneo haya wamepewa waarabu kuwa ya kwao moja kwa moja, japo lugha iliyotumika siyo hiyo.

Ukweli kuhusu DP World:
1. Ni kampuni ya kimataifa katika uendeshaji shughuli za bandari.

2. Hakuna nchi yoyote iliyowahi kuipa Dp mkataba wa zaidi ya miaka 30. Maeneo mengi ina mkataba wa miaka 20.

3. Kuna baadhi ya nchi zilifuta mkataba na DP World baada ya kuthibitika DP kuwahonga wafanya maamuzi kwa upande wa Serikali ili wapitishe vipengere vya hovyo kwenye mkataba (kama ilivyofanyika hapa kwetu, kwa tetesi zilizopo).

4. Karibu kwenye nchi zote DP haijapewa kuendesha bandari Mama, bali bandari nyinginezo, sababu kubwa ni kuzui DP kuhatarisha usalama wa nchi. Maana ikitokea mgogoro kati ya mwendeshaji na nchi, na kusababisha shughuli za bandari kusimama, itasababisha economic crisis kwa nchi.

Kilichotakiwa:

1. DP haikustahili kupewa mkataba wa kuendesha bandari mama ya Dar, ingeanza na bandari ndogo kama vile ya Zanzibar au Mtwara. Zanzibar, ingekuwa ni mahali sahihi zaidi kwani Wazanzibari wameonekana kuwa ndiyo mainjinia wa kuitafuta hiyo DP. Ufanisi wa huko Zanzibar, ndio ungeiwezesha DP kupewa bandari nyingine au kufukuzwa, kama yalivyofanya baadhi ya mataifa.

2. Kwa kampuni yenye makandokando mengi kama hii, ilistahili kupewa mkataba wa miaka 10 tu kwenye bandari ya mwanzo ili kupima maadili na ufanisi wake.

SINTOFAHAMU:

Swali muhimu:

1. Hawa wabunge wevi wa haki za wananchi za kuwapata wawakilishi wao, ambao wameendeleza uovu wao kama vile tuhuma za rushwa dhidi yao zilivyo, wakatuingiza kwenye mkataba fedhuli, tuwafanye nini? Bado kuna mwaka mzima umebakia kabla ya uchaguzi, hapa katikati, si wanaweza kuendeleza uovu wao kwa kuuza mali nyingine za nchi?

2. Makamu wa pili wa Zanzibar ametamka wazi kuwa suala la bandari siyo la Mwungano, sasa imekuwaje Rais Samia amweke Mzanzibari kuwa waziri kwenye wizara isiyo ya mwungano? Imekuwaje Rais Samia amweke katibu mkuu mzanzibari kwenye Wizara isiyo ya mwungano? Ilikuwaje Rais Samia amweke mkurugenzi mkuu wa bandari mzanzibari? Je, hatuoni kuwa hii ni syndicate ambayo maandalizi yalianza muda mrefu kwa lengo hili chafu la kuipora rasilimali hii muhimu ya Tanganyika na kuigawa kwa Mwarabu? Hivi tunaweza kuamini kuwa hakukuwahi kuwa na watanganyika wenye uwezo wa kuisimamia bandari, na wizara nzima hii isiyo ya mwungano, mpaka tukakope watu kutoka Zanzibar?

Wazee wetu, bila ya bunduki, mizinga wala guruneti, walipambana na mwarabu, mjerumani na mwingereza, waliokuwa na kila aina silaha, kuetetea rasilimali na mamlaka yao. Japo ni kwa sadaka kubwa, ikiwa ni pamoja na maisha yao, mwishoni walishinda, ndiyo maana mpaka leo na sisi tunajiita ni Taifa. Huu ni urithi wa sadaka walizotoa mababu zetu. Sisi tunaacha nini kwa vizazi vijavyo kama hata vile walivyovipigania na kuvilinda babu zetu, leo tunavitoa wenyewe kwa mikataba ya hovyo kiasi hiki? Na hawa vibaraka wanaobariki mikataba hii ya hovyo, adhabu yao iwafaayo ni ipi?

Wawekezaji tunawakaribisha na wanahitajika, lakini mpangaji ni lazima ajulikane ni mpangaji, na mwenye mali lazima ajulikane kuwa ndiye. Siyo mpangaji apore au ampangie mwenye mali.

Mkataba huu wa kijuha, kamwe haukubaliki. Ule mfumo wa hovyo wa watawala kuwapangia wenye nchi namna ya kuwatawala wenye nchi, unamfanya Rais kufanya chochote apendacho na alichoamua, pamoja na kugawa hovyo rasilimali za nchi.

KATIBA ni lazima ipatikane. Kama watawala wanashupaza shingo kwa kuzuia upatikanaji wa katiba kwa hadaa nyingi mbalimbali, wajue kuna siku watafukuzwa na kuondolewa nje ya mfumo wa kikatiba. Kuna siku wananchi watachoka, na hapo ndipo watajutia kwa kuifanya nchi kutokuwa na katiba inayokubalika.
 
Kwa jinsi unavyojua kujenga hoja kwa mpangilio, hata bibi kaelewa hali halisi. Ila hitimisho naona ni long term plan. Kwa sasa yafanyike maandamano makubwa ya kupinga mkataba huu.

Wakat maandamano yakiendelea tukubaliane sasa inahitajika sadaka ya damu na nyama.

Kwa bahat mbaya hatuna political leaders wa mbadala wa kufanya uhamasishaji, tu yatima wa kitaifa.

Ndo leo tumejua kwamba yaliyokuwa yakiwapata upinzan tunakenua meno hadi wakafa moyo yanaanza kututafuna.

Njia ya pili ni kufanya social unrest kwa indivisual culprits. Tuwaue kisiasa. Wakae hivyo hivyo uchi kisiasa na kijamii. Na tuwacast.

2025 ni mbali sana!
 
Katiba mpya ndo moyo wa taifa hili ifikie wakati tuweke utofauti wa itikadi pembeni bali kuangalia maslahi mapana ya taifa.

Inasikitisha kuona kwamba Mali zilizopo Tanganyika zinauzwa na wageni uku wenye mali tukishangilia kwa kusifu na kuabudu ili kumfurahisha mwenyekiti wa chama na kikundi kidogo Cha watu,alafu watakuja watu na blabla za uwepo wa DS ambao ni uchwara tu.
 
Kwa jinsi unavyojua kujenga hoja kwa mpangilio, hata bibi kaelewa hali halisi.
Ila hitimisho naona ni long term plan.
Kwa sasa yafanyime maandamano makubwa ya kupinga mkataba huu.
Wakat maandamano yakiendelea tukubaliane sasa inahitajika sadaka ya damu na nyama.
Kwa bahat mbaya hatuna political leaders wa mbadala wa kufanya uhamasishaji, tu yatima wa kitaifa.
Ndo leo tumejua kwamba yaliyomuwa yakiwapata upinzan tunakenua meno hadi wakafa moyo yanaanza kututafuna.
Njia ya pili ni kufanya social unrest kwa indivisual culprits. Tuwaue kisiasa. Wakae hivyo hivyo uchi kisiasa na kijamii. Na tuwacast.
2025 ni mbali sana!
Bams ni mzuri sana kwenye kujenga hoja, tatizo anajenga katika eneo la wazi. Watanzania huwezi ukapanga nao cha maana.
 
Mtalizuia bunge kwa sheria ipi? Kama mlishindwa kusimama na kuzuia wao kufika pale na kula viapo ndiyo mtaweza kuwazuoa sasa wakiwa katika viapo vyao wasitimize wajibu wao?
Mwizi hata akijihalalisha kwa kutangaza kuwa ni mtu mwema, haibadili ukweli kuwa yeye ni mwizi.
 
Kila mtu anajua kabisa kuwa hawa waliopo Bungeni, ni wahalifu, hawakuchaguliwa na wapiga kura. Je, ni halali wahalifu wa kupora haki za wananchi za kuwachagua wawakilishi wao kupitia boksi la kura, kufanya maamuzi juu ya rasilimali za Taifa?

Mwizi haachi asili yake. Hawa waliopo bungeni ni majizi ya haki za wananchi. Mtu mwizi tangu lini akafanya maamuzi ya kuzuia mali zisiibiwe. Mwizi anachotafuta ni faida binafsi. Na ndiyo maana tunasikia kuwa baadhi ya wabunge wamehongwa dola 50,000 na magari ya kifahari kuruhusu rasilimali ya Taifa kuibiwa. Hawana uchungu wowote kwa sababu asili yao ni kuiba, wamemsaidia mwizi mwenzao, na kama tuhuma hizo za hongo ni kweli, basi huyo mporaji amekwishawapa mgao wao in advance. Tulioibiwa mali yetu ni sisi wananchi tuliobakia na simanzi.

Wale mawakala wa wevi, wasitupotoshe. Ukweli kuhusiana na uporaji wa bandari ni kwamba:

1. MoU ilisainiwa na mkurugenzi wa bandari, ambaye ni mzanzibari, February 2022.

2. Mkataba ulisainiwa na waziri, ambaye ni mzanzibari, October 2022.

3. Utekelezaji wa mkataba ulianza miezi 3 tangu kusainiwa.

4. Kilichojadiliwa bungeni siyo MoU bali ni mkataba ambao tayari umekwishaanza kutekelezwa.

5. Mkataba uliosainiwa na Waziri baada ya kuridhiwa na Rais ni wa milele, hauna kikomo, wajibu wa Serikali ni kuhakikisha mwekezaji habughudhiwi na Serikali inashirikiana na mwekezaji kutengeneza mfumo wa ulinzi.

6. Siku 1 kabla ya Bunge kuridhia, wabunge hawa waovu walikaa kama kamati ya chama na kuelekezwa kuwa ni lazima waridhie mkataba kwa sababu utekelezaji wa mkataba umekwishaanza.

7. Wabunge waovu, hawakujali maslahi ya Tanganyika, wakaungana na Rais Mzanzibari, Waziri Mzanzibari, Katibu wa Wizara Mzanzibari na mkurugenzi wa Bandari Mzanzibari, kuuza bandari za Tanganyika.

Tafsiri ya Kilichoidhinishwa:
Waarabu watamiliki maeneo yote ya kuzunguka bandari na bandari yenyewe kwa muda usio na kikomo. Maana yake ni kwamba maeneo haya wamepewa waarabu kuwa ya kwao moja kwa moja, japo lugha iliyotumika siyo hiyo.

Ukweli kuhusu DP World:
1. Ni kampuni ya kimataifa katika uendeshaji shughuli za bandari.

2. Hakuna nchi yoyote iliyowahi kuipa Dp mkataba wa zaidi ya miaka 30. Maeneo mengi ina mkataba wa miaka 20.

3. Kuna baadhi ya nchi zilifuta mkataba na DP World baada ya kuthibitika DP kuwahonga wafanya maamuzi kwa upande wa Serikali ili wapitishe vipengere vya hovyo kwenye mkataba (kama ilivyofanyika hapa kwetu, kwa tetesi zilizopo).

4. Karibu kwenye nchi zote DP haijapewa kuendesha bandari Mama, bali bandari nyinginezo, sababu kubwa ni kuzui DP kuhatarisha usalama wa nchi. Maana ikitokea mgogoro kati ya mwendeshaji na nchi, na kusababisha shughuli za bandari kusimama, itasababisha economic crisis kwa nchi.

Kilichotakiwa:

1. DP haikustahili kupewa mkataba wa kuendesha bandari mama ya Dar, ingeanza na bandari ndogo kama vile ya Zanzibar au Mtwara. Zanzibar, ingekuwa ni mahali sahihi zaidi kwani Wazanzibari wameonekana kuwa ndiyo mainjinia wa kuitafuta hiyo DP. Ufanisi wa huko Zanzibar, ndio ungeiwezesha DP kupewa bandari nyingine au kufukuzwa, kama yalivyofanya baadhi ya mataifa.

2. Kwa kampuni yenye makandokando mengi kama hii, ilistahili kupewa mkataba wa miaka 10 tu kwenye bandari ya mwanzo ili kupima maadili na ufanisi wake.

SINTOFAHAMU:

Swali muhimu:

1. Hawa wabunge wevi wa haki za wananchi za kuwapata wawakilishi wao, ambao wameendeleza uovu wao kama vile tuhuma za rushwa dhidi yao zilivyo, wakatuingiza kwenye mkataba fedhuli, tuwafanye nini? Bado kuna mwaka mzima umebakia kabla ya uchaguzi, hapa katikati, si wanaweza kuendeleza uovu wao kwa kuuza mali nyingine za nchi?

2. Makamu wa pili wa Zanzibar ametamka wazi kuwa suala la bandari siyo la Mwungano, sasa imekuwaje Rais Samia amweke Mzanzibari kuwa waziri kwenye wizara isiyo ya mwungano? Imekuwaje Rais Samia amweke katibu mkuu mzanzibari kwenye Wizara isiyo ya mwungano? Ilikuwaje Rais Samia amweke mkurugenzi mkuu wa bandari mzanzibari? Je, hatuoni kuwa hii ni syndicate ambayo maandalizi yalianza muda mrefu kwa lengo hili chafu la kuipora rasilimali hii muhimu ya Tanganyika na kuigawa kwa Mwarabu? Hivi tunaweza kuamini kuwa hakukuwahi kuwa na watanganyika wenye uwezo wa kuisimamia bandari, na wizara nzima hii isiyo ya mwungano, mpaka tukakope watu kutoka Zanzibar?

Wazee wetu, bila ya bunduki, mizinga wala guruneti, walipambana na mwarabu, mjerumani na mwingereza, waliokuwa na kila aina silaha, kuetetea rasilimali na mamlaka yao. Japo ni kwa sadaka kubwa, ikiwa ni pamoja na maisha yao, mwishoni walishinda, ndiyo maana mpaka leo na sisi tunajiita ni Taifa. Huu ni urithi wa sadaka walizotoa mababu zetu. Sisi tunaacha nini kwa vizazi vijavyo kama hata vile walivyovipigania na kuvilinda babu zetu, leo tunavitoa wenyewe kwa mikataba ya hovyo kiasi hiki? Na hawa vibaraka wanaobariki mikataba hii ya hovyo, adhabu yao iwafaayo ni ipi?

Wawekezaji tunawakaribisha na wanahitajika, lakini mpangaji ni lazima ajulikane ni mpangaji, na mwenye mali lazima ajulikane kuwa ndiye. Siyo mpangaji apore au ampangie mwenye mali.

Mkataba huu wa kijuha, kamwe haukubaliki. Ule mfumo wa hovyo wa watawala kuwapangia wenye nchi namna ya kuwatawala wenye nchi, unamfanya Rais kufanya chochote apendacho na alichoamua, pamoja na kugawa hovyo rasilimali za nchi.

KATIBA ni lazima ipatikane. Kama watawala wanashupaza shingo kwa kuzuia upatikanaji wa katiba kwa hadaa nyingi mbalimbali, wajue kuna siku watafukuzwa na kuondolewa nje ya mfumo wa kikatiba. Kuna siku wananchi watachoka, na hapo ndipo watajutia kwa kuifanya nchi kutokuwa na katiba inayokubalika.


Ujumbe mfupi uwe ni mmoja tu nao ni; SSH Hatutaki bandari yetu
 
Kila mtu anajua kabisa kuwa hawa waliopo Bungeni, ni wahalifu, hawakuchaguliwa na wapiga kura. Je, ni halali wahalifu wa kupora haki za wananchi za kuwachagua wawakilishi wao kupitia boksi la kura, kufanya maamuzi juu ya rasilimali za Taifa?

Mwizi haachi asili yake. Hawa waliopo bungeni ni majizi ya haki za wananchi. Mtu mwizi tangu lini akafanya maamuzi ya kuzuia mali zisiibiwe. Mwizi anachotafuta ni faida binafsi. Na ndiyo maana tunasikia kuwa baadhi ya wabunge wamehongwa dola 50,000 na magari ya kifahari kuruhusu rasilimali ya Taifa kuibiwa. Hawana uchungu wowote kwa sababu asili yao ni kuiba, wamemsaidia mwizi mwenzao, na kama tuhuma hizo za hongo ni kweli, basi huyo mporaji amekwishawapa mgao wao in advance. Tulioibiwa mali yetu ni sisi wananchi tuliobakia na simanzi.

Wale mawakala wa wevi, wasitupotoshe. Ukweli kuhusiana na uporaji wa bandari ni kwamba:

1. MoU ilisainiwa na mkurugenzi wa bandari, ambaye ni mzanzibari, February 2022.

2. Mkataba ulisainiwa na waziri, ambaye ni mzanzibari, October 2022.

3. Utekelezaji wa mkataba ulianza miezi 3 tangu kusainiwa.

4. Kilichojadiliwa bungeni siyo MoU bali ni mkataba ambao tayari umekwishaanza kutekelezwa.

5. Mkataba uliosainiwa na Waziri baada ya kuridhiwa na Rais ni wa milele, hauna kikomo, wajibu wa Serikali ni kuhakikisha mwekezaji habughudhiwi na Serikali inashirikiana na mwekezaji kutengeneza mfumo wa ulinzi.

6. Siku 1 kabla ya Bunge kuridhia, wabunge hawa waovu walikaa kama kamati ya chama na kuelekezwa kuwa ni lazima waridhie mkataba kwa sababu utekelezaji wa mkataba umekwishaanza.

7. Wabunge waovu, hawakujali maslahi ya Tanganyika, wakaungana na Rais Mzanzibari, Waziri Mzanzibari, Katibu wa Wizara Mzanzibari na mkurugenzi wa Bandari Mzanzibari, kuuza bandari za Tanganyika.

Tafsiri ya Kilichoidhinishwa:
Waarabu watamiliki maeneo yote ya kuzunguka bandari na bandari yenyewe kwa muda usio na kikomo. Maana yake ni kwamba maeneo haya wamepewa waarabu kuwa ya kwao moja kwa moja, japo lugha iliyotumika siyo hiyo.

Ukweli kuhusu DP World:
1. Ni kampuni ya kimataifa katika uendeshaji shughuli za bandari.

2. Hakuna nchi yoyote iliyowahi kuipa Dp mkataba wa zaidi ya miaka 30. Maeneo mengi ina mkataba wa miaka 20.

3. Kuna baadhi ya nchi zilifuta mkataba na DP World baada ya kuthibitika DP kuwahonga wafanya maamuzi kwa upande wa Serikali ili wapitishe vipengere vya hovyo kwenye mkataba (kama ilivyofanyika hapa kwetu, kwa tetesi zilizopo).

4. Karibu kwenye nchi zote DP haijapewa kuendesha bandari Mama, bali bandari nyinginezo, sababu kubwa ni kuzui DP kuhatarisha usalama wa nchi. Maana ikitokea mgogoro kati ya mwendeshaji na nchi, na kusababisha shughuli za bandari kusimama, itasababisha economic crisis kwa nchi.

Kilichotakiwa:

1. DP haikustahili kupewa mkataba wa kuendesha bandari mama ya Dar, ingeanza na bandari ndogo kama vile ya Zanzibar au Mtwara. Zanzibar, ingekuwa ni mahali sahihi zaidi kwani Wazanzibari wameonekana kuwa ndiyo mainjinia wa kuitafuta hiyo DP. Ufanisi wa huko Zanzibar, ndio ungeiwezesha DP kupewa bandari nyingine au kufukuzwa, kama yalivyofanya baadhi ya mataifa.

2. Kwa kampuni yenye makandokando mengi kama hii, ilistahili kupewa mkataba wa miaka 10 tu kwenye bandari ya mwanzo ili kupima maadili na ufanisi wake.

SINTOFAHAMU:

Swali muhimu:

1. Hawa wabunge wevi wa haki za wananchi za kuwapata wawakilishi wao, ambao wameendeleza uovu wao kama vile tuhuma za rushwa dhidi yao zilivyo, wakatuingiza kwenye mkataba fedhuli, tuwafanye nini? Bado kuna mwaka mzima umebakia kabla ya uchaguzi, hapa katikati, si wanaweza kuendeleza uovu wao kwa kuuza mali nyingine za nchi?

2. Makamu wa pili wa Zanzibar ametamka wazi kuwa suala la bandari siyo la Mwungano, sasa imekuwaje Rais Samia amweke Mzanzibari kuwa waziri kwenye wizara isiyo ya mwungano? Imekuwaje Rais Samia amweke katibu mkuu mzanzibari kwenye Wizara isiyo ya mwungano? Ilikuwaje Rais Samia amweke mkurugenzi mkuu wa bandari mzanzibari? Je, hatuoni kuwa hii ni syndicate ambayo maandalizi yalianza muda mrefu kwa lengo hili chafu la kuipora rasilimali hii muhimu ya Tanganyika na kuigawa kwa Mwarabu? Hivi tunaweza kuamini kuwa hakukuwahi kuwa na watanganyika wenye uwezo wa kuisimamia bandari, na wizara nzima hii isiyo ya mwungano, mpaka tukakope watu kutoka Zanzibar?

Wazee wetu, bila ya bunduki, mizinga wala guruneti, walipambana na mwarabu, mjerumani na mwingereza, waliokuwa na kila aina silaha, kuetetea rasilimali na mamlaka yao. Japo ni kwa sadaka kubwa, ikiwa ni pamoja na maisha yao, mwishoni walishinda, ndiyo maana mpaka leo na sisi tunajiita ni Taifa. Huu ni urithi wa sadaka walizotoa mababu zetu. Sisi tunaacha nini kwa vizazi vijavyo kama hata vile walivyovipigania na kuvilinda babu zetu, leo tunavitoa wenyewe kwa mikataba ya hovyo kiasi hiki? Na hawa vibaraka wanaobariki mikataba hii ya hovyo, adhabu yao iwafaayo ni ipi?

Wawekezaji tunawakaribisha na wanahitajika, lakini mpangaji ni lazima ajulikane ni mpangaji, na mwenye mali lazima ajulikane kuwa ndiye. Siyo mpangaji apore au ampangie mwenye mali.

Mkataba huu wa kijuha, kamwe haukubaliki. Ule mfumo wa hovyo wa watawala kuwapangia wenye nchi namna ya kuwatawala wenye nchi, unamfanya Rais kufanya chochote apendacho na alichoamua, pamoja na kugawa hovyo rasilimali za nchi.

KATIBA ni lazima ipatikane. Kama watawala wanashupaza shingo kwa kuzuia upatikanaji wa katiba kwa hadaa nyingi mbalimbali, wajue kuna siku watafukuzwa na kuondolewa nje ya mfumo wa kikatiba. Kuna siku wananchi watachoka, na hapo ndipo watajutia kwa kuifanya nchi kutokuwa na katiba inayokubalika.
Mi acha nisome comments za wazee walioko kweny payroll ya hashtag ya DP world!!!
 
nahsi kwa kujua ubatili wake na udhaifu wake ndio maana linafanya mambo ya kiharamia kwa maslahi yao binafsi!
 
Cha kushangaza, kuna pongezi tayari zinatolewa kuunga mkono huu uporaji wa karne!
1686562101640.png
 
Kila mtu anajua kabisa kuwa hawa waliopo Bungeni, ni wahalifu, hawakuchaguliwa na wapiga kura. Je, ni halali wahalifu wa kupora haki za wananchi za kuwachagua wawakilishi wao kupitia boksi la kura, kufanya maamuzi juu ya rasilimali za Taifa?

Mwizi haachi asili yake. Hawa waliopo bungeni ni majizi ya haki za wananchi. Mtu mwizi tangu lini akafanya maamuzi ya kuzuia mali zisiibiwe. Mwizi anachotafuta ni faida binafsi. Na ndiyo maana tunasikia kuwa baadhi ya wabunge wamehongwa dola 50,000 na magari ya kifahari kuruhusu rasilimali ya Taifa kuibiwa. Hawana uchungu wowote kwa sababu asili yao ni kuiba, wamemsaidia mwizi mwenzao, na kama tuhuma hizo za hongo ni kweli, basi huyo mporaji amekwishawapa mgao wao in advance. Tulioibiwa mali yetu ni sisi wananchi tuliobakia na simanzi.

Wale mawakala wa wevi, wasitupotoshe. Ukweli kuhusiana na uporaji wa bandari ni kwamba:

1. MoU ilisainiwa na mkurugenzi wa bandari, ambaye ni mzanzibari, February 2022.

2. Mkataba ulisainiwa na waziri, ambaye ni mzanzibari, October 2022.

3. Utekelezaji wa mkataba ulianza miezi 3 tangu kusainiwa.

4. Kilichojadiliwa bungeni siyo MoU bali ni mkataba ambao tayari umekwishaanza kutekelezwa.

5. Mkataba uliosainiwa na Waziri baada ya kuridhiwa na Rais ni wa milele, hauna kikomo, wajibu wa Serikali ni kuhakikisha mwekezaji habughudhiwi na Serikali inashirikiana na mwekezaji kutengeneza mfumo wa ulinzi.

6. Siku 1 kabla ya Bunge kuridhia, wabunge hawa waovu walikaa kama kamati ya chama na kuelekezwa kuwa ni lazima waridhie mkataba kwa sababu utekelezaji wa mkataba umekwishaanza.

7. Wabunge waovu, hawakujali maslahi ya Tanganyika, wakaungana na Rais Mzanzibari, Waziri Mzanzibari, Katibu wa Wizara Mzanzibari na mkurugenzi wa Bandari Mzanzibari, kuuza bandari za Tanganyika.

Tafsiri ya Kilichoidhinishwa:
Waarabu watamiliki maeneo yote ya kuzunguka bandari na bandari yenyewe kwa muda usio na kikomo. Maana yake ni kwamba maeneo haya wamepewa waarabu kuwa ya kwao moja kwa moja, japo lugha iliyotumika siyo hiyo.

Ukweli kuhusu DP World:
1. Ni kampuni ya kimataifa katika uendeshaji shughuli za bandari.

2. Hakuna nchi yoyote iliyowahi kuipa Dp mkataba wa zaidi ya miaka 30. Maeneo mengi ina mkataba wa miaka 20.

3. Kuna baadhi ya nchi zilifuta mkataba na DP World baada ya kuthibitika DP kuwahonga wafanya maamuzi kwa upande wa Serikali ili wapitishe vipengere vya hovyo kwenye mkataba (kama ilivyofanyika hapa kwetu, kwa tetesi zilizopo).

4. Karibu kwenye nchi zote DP haijapewa kuendesha bandari Mama, bali bandari nyinginezo, sababu kubwa ni kuzui DP kuhatarisha usalama wa nchi. Maana ikitokea mgogoro kati ya mwendeshaji na nchi, na kusababisha shughuli za bandari kusimama, itasababisha economic crisis kwa nchi.

Kilichotakiwa:

1. DP haikustahili kupewa mkataba wa kuendesha bandari mama ya Dar, ingeanza na bandari ndogo kama vile ya Zanzibar au Mtwara. Zanzibar, ingekuwa ni mahali sahihi zaidi kwani Wazanzibari wameonekana kuwa ndiyo mainjinia wa kuitafuta hiyo DP. Ufanisi wa huko Zanzibar, ndio ungeiwezesha DP kupewa bandari nyingine au kufukuzwa, kama yalivyofanya baadhi ya mataifa.

2. Kwa kampuni yenye makandokando mengi kama hii, ilistahili kupewa mkataba wa miaka 10 tu kwenye bandari ya mwanzo ili kupima maadili na ufanisi wake.

SINTOFAHAMU:

Swali muhimu:

1. Hawa wabunge wevi wa haki za wananchi za kuwapata wawakilishi wao, ambao wameendeleza uovu wao kama vile tuhuma za rushwa dhidi yao zilivyo, wakatuingiza kwenye mkataba fedhuli, tuwafanye nini? Bado kuna mwaka mzima umebakia kabla ya uchaguzi, hapa katikati, si wanaweza kuendeleza uovu wao kwa kuuza mali nyingine za nchi?

2. Makamu wa pili wa Zanzibar ametamka wazi kuwa suala la bandari siyo la Mwungano, sasa imekuwaje Rais Samia amweke Mzanzibari kuwa waziri kwenye wizara isiyo ya mwungano? Imekuwaje Rais Samia amweke katibu mkuu mzanzibari kwenye Wizara isiyo ya mwungano? Ilikuwaje Rais Samia amweke mkurugenzi mkuu wa bandari mzanzibari? Je, hatuoni kuwa hii ni syndicate ambayo maandalizi yalianza muda mrefu kwa lengo hili chafu la kuipora rasilimali hii muhimu ya Tanganyika na kuigawa kwa Mwarabu? Hivi tunaweza kuamini kuwa hakukuwahi kuwa na watanganyika wenye uwezo wa kuisimamia bandari, na wizara nzima hii isiyo ya mwungano, mpaka tukakope watu kutoka Zanzibar?

Wazee wetu, bila ya bunduki, mizinga wala guruneti, walipambana na mwarabu, mjerumani na mwingereza, waliokuwa na kila aina silaha, kuetetea rasilimali na mamlaka yao. Japo ni kwa sadaka kubwa, ikiwa ni pamoja na maisha yao, mwishoni walishinda, ndiyo maana mpaka leo na sisi tunajiita ni Taifa. Huu ni urithi wa sadaka walizotoa mababu zetu. Sisi tunaacha nini kwa vizazi vijavyo kama hata vile walivyovipigania na kuvilinda babu zetu, leo tunavitoa wenyewe kwa mikataba ya hovyo kiasi hiki? Na hawa vibaraka wanaobariki mikataba hii ya hovyo, adhabu yao iwafaayo ni ipi?

Wawekezaji tunawakaribisha na wanahitajika, lakini mpangaji ni lazima ajulikane ni mpangaji, na mwenye mali lazima ajulikane kuwa ndiye. Siyo mpangaji apore au ampangie mwenye mali.

Mkataba huu wa kijuha, kamwe haukubaliki. Ule mfumo wa hovyo wa watawala kuwapangia wenye nchi namna ya kuwatawala wenye nchi, unamfanya Rais kufanya chochote apendacho na alichoamua, pamoja na kugawa hovyo rasilimali za nchi.

KATIBA ni lazima ipatikane. Kama watawala wanashupaza shingo kwa kuzuia upatikanaji wa katiba kwa hadaa nyingi mbalimbali, wajue kuna siku watafukuzwa na kuondolewa nje ya mfumo wa kikatiba. Kuna siku wananchi watachoka, na hapo ndipo watajutia kwa kuifanya nchi kutokuwa na katiba inayokubalika.
Umeandika siasa tupu tena zile za kichonganishi kwa makusudi unayoyafahamu wewe mwenyewe.
 
Vita ya kiuchumi ina ugumu wake na kama hujui unaweza kujikuta unapigana kwa niaba ya adui bila ya wewe mwenye kufahamu kipi unachokifanya.

JPM alijenga SGR kwa uthubutu mpana sana bila ya kusikiliza makelele ya wajuaji wengi waliotapakaa kila kona ya dunia.

Samia amekuwa akifanya kazi ya kutafuta wateja wakubwa watakaotumia hiyo reli itakapokamilika, kaenda Burundi, Rwanda, na hata Tshisekedi alishaitembelea bandari kujiridhisha na upanuzi uliofanyika.

Haya ni masuala ya kimkakati hayafanyiki tu kisiasa, ni mipango inayotazama mbali.

Kupanuliwa kwa bandari kunakwenda sambamba na ongezeko la mzigo, huwezi kuwa na mzigo unaokuja bandarini na kuondoka mfululizo kwa wingi ambao ni mara tatu ya wingi wa sasa halafu ukategemea huduma ziwe zile zile za kizamani, zile za karani wa bandarini kukaa SHED na kitabu kikubwaaa akiandika kwa mkono makontena yanayoingia na kutoka!, huko ndio tunatoka haraka sana.

Na kama wanaolalamika wanaelewa kuwa lengo kuu la Tanzania ni kuingia uchumi wa juu wa kati basi watambue maana ya uboreshaji wa huduma za bandarini kwa mujibu wa teknolojia na nyakati halisi tunazoishi.

Hii pia ni vita pana ya kiuchumi, majirani zetu hawana SGR ya hadhi ya Tanzania ya sasa pia hawajapewa biashara pana na mataifa ya Rwanda na DRC, hivyo wivu wao na hii vita ya mtandaoni ni mambo yaliyotegemewa kutokea.

Kwa ufupi tumeamua kusonga mbele.
 
Kwa jinsi unavyojua kujenga hoja kwa mpangilio, hata bibi kaelewa hali halisi. Ila hitimisho naona ni long term plan. Kwa sasa yafanyike maandamano makubwa ya kupinga mkataba huu.

Wakat maandamano yakiendelea tukubaliane sasa inahitajika sadaka ya damu na nyama.

Kwa bahat mbaya hatuna political leaders wa mbadala wa kufanya uhamasishaji, tu yatima wa kitaifa.

Ndo leo tumejua kwamba yaliyokuwa yakiwapata upinzan tunakenua meno hadi wakafa moyo yanaanza kututafuna.

Njia ya pili ni kufanya social unrest kwa indivisual culprits. Tuwaue kisiasa. Wakae hivyo hivyo uchi kisiasa na kijamii. Na tuwacast.

2025 ni mbali sana!
Sadaka ya damu na nyama na uwe wa kwanza kuitoa, toka nje halafu anzisha chokochoko za kijinga uone kipi kitakachokupata.

Usiwachuze watoto wa wenzio, anza wewe kwanza kuitoa hiyo sadaka.
 
Kila mtu anajua kabisa kuwa hawa waliopo Bungeni, ni wahalifu, hawakuchaguliwa na wapiga kura. Je, ni halali wahalifu wa kupora haki za wananchi za kuwachagua wawakilishi wao kupitia boksi la kura, kufanya maamuzi juu ya rasilimali za Taifa?

Mwizi haachi asili yake. Hawa waliopo bungeni ni majizi ya haki za wananchi. Mtu mwizi tangu lini akafanya maamuzi ya kuzuia mali zisiibiwe. Mwizi anachotafuta ni faida binafsi. Na ndiyo maana tunasikia kuwa baadhi ya wabunge wamehongwa dola 50,000 na magari ya kifahari kuruhusu rasilimali ya Taifa kuibiwa. Hawana uchungu wowote kwa sababu asili yao ni kuiba, wamemsaidia mwizi mwenzao, na kama tuhuma hizo za hongo ni kweli, basi huyo mporaji amekwishawapa mgao wao in advance. Tulioibiwa mali yetu ni sisi wananchi tuliobakia na simanzi.

Wale mawakala wa wevi, wasitupotoshe. Ukweli kuhusiana na uporaji wa bandari ni kwamba:

1. MoU ilisainiwa na mkurugenzi wa bandari, ambaye ni mzanzibari, February 2022.

2. Mkataba ulisainiwa na waziri, ambaye ni mzanzibari, October 2022.

3. Utekelezaji wa mkataba ulianza miezi 3 tangu kusainiwa.

4. Kilichojadiliwa bungeni siyo MoU bali ni mkataba ambao tayari umekwishaanza kutekelezwa.

5. Mkataba uliosainiwa na Waziri baada ya kuridhiwa na Rais ni wa milele, hauna kikomo, wajibu wa Serikali ni kuhakikisha mwekezaji habughudhiwi na Serikali inashirikiana na mwekezaji kutengeneza mfumo wa ulinzi.

6. Siku 1 kabla ya Bunge kuridhia, wabunge hawa waovu walikaa kama kamati ya chama na kuelekezwa kuwa ni lazima waridhie mkataba kwa sababu utekelezaji wa mkataba umekwishaanza.

7. Wabunge waovu, hawakujali maslahi ya Tanganyika, wakaungana na Rais Mzanzibari, Waziri Mzanzibari, Katibu wa Wizara Mzanzibari na mkurugenzi wa Bandari Mzanzibari, kuuza bandari za Tanganyika.

Tafsiri ya Kilichoidhinishwa:
Waarabu watamiliki maeneo yote ya kuzunguka bandari na bandari yenyewe kwa muda usio na kikomo. Maana yake ni kwamba maeneo haya wamepewa waarabu kuwa ya kwao moja kwa moja, japo lugha iliyotumika siyo hiyo.

Ukweli kuhusu DP World:
1. Ni kampuni ya kimataifa katika uendeshaji shughuli za bandari.

2. Hakuna nchi yoyote iliyowahi kuipa Dp mkataba wa zaidi ya miaka 30. Maeneo mengi ina mkataba wa miaka 20.

3. Kuna baadhi ya nchi zilifuta mkataba na DP World baada ya kuthibitika DP kuwahonga wafanya maamuzi kwa upande wa Serikali ili wapitishe vipengere vya hovyo kwenye mkataba (kama ilivyofanyika hapa kwetu, kwa tetesi zilizopo).

4. Karibu kwenye nchi zote DP haijapewa kuendesha bandari Mama, bali bandari nyinginezo, sababu kubwa ni kuzui DP kuhatarisha usalama wa nchi. Maana ikitokea mgogoro kati ya mwendeshaji na nchi, na kusababisha shughuli za bandari kusimama, itasababisha economic crisis kwa nchi.

Kilichotakiwa:

1. DP haikustahili kupewa mkataba wa kuendesha bandari mama ya Dar, ingeanza na bandari ndogo kama vile ya Zanzibar au Mtwara. Zanzibar, ingekuwa ni mahali sahihi zaidi kwani Wazanzibari wameonekana kuwa ndiyo mainjinia wa kuitafuta hiyo DP. Ufanisi wa huko Zanzibar, ndio ungeiwezesha DP kupewa bandari nyingine au kufukuzwa, kama yalivyofanya baadhi ya mataifa.

2. Kwa kampuni yenye makandokando mengi kama hii, ilistahili kupewa mkataba wa miaka 10 tu kwenye bandari ya mwanzo ili kupima maadili na ufanisi wake.

SINTOFAHAMU:

Swali muhimu:

1. Hawa wabunge wevi wa haki za wananchi za kuwapata wawakilishi wao, ambao wameendeleza uovu wao kama vile tuhuma za rushwa dhidi yao zilivyo, wakatuingiza kwenye mkataba fedhuli, tuwafanye nini? Bado kuna mwaka mzima umebakia kabla ya uchaguzi, hapa katikati, si wanaweza kuendeleza uovu wao kwa kuuza mali nyingine za nchi?

2. Makamu wa pili wa Zanzibar ametamka wazi kuwa suala la bandari siyo la Mwungano, sasa imekuwaje Rais Samia amweke Mzanzibari kuwa waziri kwenye wizara isiyo ya mwungano? Imekuwaje Rais Samia amweke katibu mkuu mzanzibari kwenye Wizara isiyo ya mwungano? Ilikuwaje Rais Samia amweke mkurugenzi mkuu wa bandari mzanzibari? Je, hatuoni kuwa hii ni syndicate ambayo maandalizi yalianza muda mrefu kwa lengo hili chafu la kuipora rasilimali hii muhimu ya Tanganyika na kuigawa kwa Mwarabu? Hivi tunaweza kuamini kuwa hakukuwahi kuwa na watanganyika wenye uwezo wa kuisimamia bandari, na wizara nzima hii isiyo ya mwungano, mpaka tukakope watu kutoka Zanzibar?

Wazee wetu, bila ya bunduki, mizinga wala guruneti, walipambana na mwarabu, mjerumani na mwingereza, waliokuwa na kila aina silaha, kuetetea rasilimali na mamlaka yao. Japo ni kwa sadaka kubwa, ikiwa ni pamoja na maisha yao, mwishoni walishinda, ndiyo maana mpaka leo na sisi tunajiita ni Taifa. Huu ni urithi wa sadaka walizotoa mababu zetu. Sisi tunaacha nini kwa vizazi vijavyo kama hata vile walivyovipigania na kuvilinda babu zetu, leo tunavitoa wenyewe kwa mikataba ya hovyo kiasi hiki? Na hawa vibaraka wanaobariki mikataba hii ya hovyo, adhabu yao iwafaayo ni ipi?

Wawekezaji tunawakaribisha na wanahitajika, lakini mpangaji ni lazima ajulikane ni mpangaji, na mwenye mali lazima ajulikane kuwa ndiye. Siyo mpangaji apore au ampangie mwenye mali.

Mkataba huu wa kijuha, kamwe haukubaliki. Ule mfumo wa hovyo wa watawala kuwapangia wenye nchi namna ya kuwatawala wenye nchi, unamfanya Rais kufanya chochote apendacho na alichoamua, pamoja na kugawa hovyo rasilimali za nchi.

KATIBA ni lazima ipatikane. Kama watawala wanashupaza shingo kwa kuzuia upatikanaji wa katiba kwa hadaa nyingi mbalimbali, wajue kuna siku watafukuzwa na kuondolewa nje ya mfumo wa kikatiba. Kuna siku wananchi watachoka, na hapo ndipo watajutia kwa kuifanya nchi kutokuwa na katiba inayokubalika.

Tatizo lenu vijana ni jazba,

Hamjipi muda wa kusoma na kuelewa mambo,

Mbalawa amesaini mikataba mingapi? Mbona ujapiga kelele?

Hussein mwinyi alikuwa waziri wa ulinzi mbona haukupiga kelele?

Hilo Bunge Leo hulitaki unataka Bunge la china au la wapi?

Majazba mengi na hauna fact yoyote
 
Kwa jinsi unavyojua kujenga hoja kwa mpangilio, hata bibi kaelewa hali halisi. Ila hitimisho naona ni long term plan. Kwa sasa yafanyike maandamano makubwa ya kupinga mkataba huu.

Wakat maandamano yakiendelea tukubaliane sasa inahitajika sadaka ya damu na nyama.

Kwa bahat mbaya hatuna political leaders wa mbadala wa kufanya uhamasishaji, tu yatima wa kitaifa.

Ndo leo tumejua kwamba yaliyokuwa yakiwapata upinzan tunakenua meno hadi wakafa moyo yanaanza kututafuna.

Njia ya pili ni kufanya social unrest kwa indivisual culprits. Tuwaue kisiasa. Wakae hivyo hivyo uchi kisiasa na kijamii. Na tuwacast.

2025 ni mbali sana!
Unaweza kuandamana au
Mgomoo wako n kupitiaa simuu kudai haki yako
 
Back
Top Bottom