imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,674
- 71,045
Tunatuma Koboko aingie kwenye joho la Spika wenuAcheni mikwara mbuzi hamna uwezo wowote wa kuandaa amendments zenye mashiko.
Tunatuma Koboko aingie kwenye joho la Spika wenuAcheni mikwara mbuzi hamna uwezo wowote wa kuandaa amendments zenye mashiko.
Huuu uchawi ulotumika kuloga watanzania sio wa sayar hii, haiwezekan watu wepes wa kusahau kias hikiYaaani n wametupTa kweli tunajadili bundi huko ccm wanafanya yao
Were huwelewi nadharia iliyopo. Kimsingi sio kwamba bundi anauwa, ila anakitu kama unachosema kwamba anavuta hisia au harufu ya mtu anaekaribia kufa. Kwahiyo ukimuona bundi maeneo yenu ujue hakuna dalili mzuri halo mtaani kwenu. Yani km unavyoona nzi Na mizoga kwani nzi ndo anauwa?Unafahamu ni kwa nini Bundi alikaa muda wote huo hapo nyumbani kwenu? Kwa vyovyote vile, Mdogo wako alikuwa mgonjwa sana na hivi alikuwa anatoa Harufu ambayo ninyi haikuwa rahisi kui-detect lakini kwa kuwa Bundi ni very sensitive to smell, basi yeye alikuwa hapo akivizia mawindo akihisi sehemu hiyo kuna mzoga. Vinginevyo,Bundi hana uhusiano wowote na kufariki kwa Mdogo wako.
Kama Bundi ndiye alikuwa anahusika na kifo cha mdogo wenu, ni kwa nini akae hapo wiki nzima? Kama ana uwezo Wa kumchukua mtu au kumfanya afe,kwa nini asubirie muda wote huo?
Dah!!ni hatari sana,Nilichanganya kidogo mambo, unajua leo asubuhi palikuwa na bundi, bundi ‘original’ hapo juu hapo, lakini sisi Dodoma bundi wa mchana hana tatizo ila wahusiku ndo shida".Job Ndugai JAN 29,2019-Dodoma
View attachment 1007609
======
BUNGE: Ndege aina ya Bundi ameingia ndani ya ukumbi wa Bunge Dodoma asubuhi ya leo wakati Mkutano wa 14 wa Bunge la 11 ukianza kikao chake cha kwanza lakini Spika wa Bunge Job Ndugai aliwatoa hofu wa Bunge kuwa Bundi wa mchana hana madhara kama wa usiku.
Biologically Sense ya smell ya bundi IPO juu anaweza kuditect harufu ya uozo was cell zinapokufa ,harufu hii binadamu hawez kuisikia and mind that bundi hula mzoga,,ko anapotokea pahala ujue kasikia harufu ya mzoga au mzoga tarajali ,,ila hii incidence ya bungenii ni mambo yao ,,sooon utasikia maalbino wanawindwaMimi nafikiri kuna kitu bundi anahisi ambacho sisi binadamu hatukioni.
Mkuu kunaukweli ambao unaunganishwa na imani za kishirikiana....bundi anauwezo mkubwa wa kunusa dead cells maana ni mla mizoga...sasa ipo hivi mtu anapoumwa mda mrefu kumbuka cell zinazidi kufa kwenye mwili wake ndiyo maana unaweza kusikia bundi amelia mtaani haipiti siku kadhaa unasikia mtu amefariki mtaani hapo,ukifatilia aliekufa utakuta ni mtu aliyeugua mda mrefu,bundi alinusa harufu ya mzoga,yaani mtu ambae cell zake nyingi zimekufa bundi anahisi kunamzoga ndiyo maana husogea karibu na eneo husika....jaribu kuchunguzaIman
Hizo ni imani za kizembe,eti bundi wa mchana hana tatizo,ila angekuwa wa usiku,sasa hapo unawafundisha nini watoto?Bundi ni ndege tu kama ilivyo wengine.Sijajuwa labda kwa wale wasiojulikana kama wana bundi wao maalumu!
Ikitoka roho ya DHAIFU nitafurahi. Bunge limekuwa kama si Bunge, khaaaaa!Bundi anataka roho
kuna mdao nae aliuliza vipi kuhusu hospitali ambazo kuna wagonjwa wengi wanakufa na hakuna hao bundi wakati huko ndipo kuna watu wengi ambao seli zao zimeanza kufa.Mkuu kunaukweli ambao unaunganishwa na imani za kishirikiana....bundi anauwezo mkubwa wa kunusa dead cells maana ni mla mizoga...sasa ipo hivi mtu anapoumwa mda mrefu kumbuka cell zinazidi kufa kwenye mwili wake ndiyo maana unaweza kusikia bundi amelia mtaani haipiti siku kadhaa unasikia mtu amefariki mtaani hapo,ukifatilia aliekufa utakuta ni mtu aliyeugua mda mrefu,bundi alinusa harufu ya mzoga,yaani mtu ambae cell zake nyingi zimekufa bundi anahisi kunamzoga ndiyo maana husogea karibu na eneo husika....jaribu kuchunguza
Sent using Jamii Forums mobile app
Bundi,Fisi,Paka,Wolf,Popo ni miongoni mwa wanyama wa Ishara/matumizi nguvu Giza unapowaona katika mazingira ya kutilia mashaka usichelewe kupiga dua..Kwa hiyo,Bundi ni Mnyama Wa Shetani? Na kama ndivyo,huyo shetani amejichagulia tu Bundi Wa Afrika na wa sehemu zingine Duniani anawaogopa?
Mkuu bundi hawezi kuwa sawa na njiwa,kama wakristo hutumia ishara ya njiwa mweupe kama amani na Uwepo wa roho mtakatifu,kwa upande wa pili yupo Bundi mwakilishi wa nguvu giza..usipinge uwepo wa nguvu za giza kisa Elimu..Ni mambo ya kujidhalilisha sana. Mtu kama Ndugai,Spika anayeongoza wasomi Wa kuanzia Darasa la Saba hadi viwango vya PhD na yeye akiwa msomi Mwenye Degree mbili, badala ya kuwaelimisha wabunge kwamba huyo ni ndege kama Njiwa, Popo na kadhalika, yeye anawatoa hofu wabunge kwa kuwaambia kwamba Bundi huyo angalikuja maeneo hayo usiku ndio wangalipaswa kuwa na hofu lakini sio huyo Wa mchana!
Hivi kwa uelewa kama huo,Ndugai anafahamu maana ya kuwa Spika? Kuwa Spika maana yake sio kufahamu tu Kanuni za Binge na Kuunda Kamati za Bunge bali inabidi pia uelewa wake juu ya mambo mengine(General Affairs) uwe mpana sana ama sawa na Wabunge au Zaidi ya wale anaowaongoza.
Ni ishara ya Kifo cha Taifa!
Huo muswada wa sheria ya vyama vya siasa ni msumari mbaya wa mustakbali wa Taifa hili!
Farao alipewa Ishara za Vyura n.k akazidharau Sasa Bundi kaingia bungeni!!!.