mkataapema
Senior Member
- Apr 11, 2011
- 108
- 53
Akifa "bilionea " wa kichaga mtafungua thread ya kuonyesha hayo maajabu. Acha Nshomile wajisifu!Wahaya njooni Kilimanjaro muone maajabu huko migombani
Sent using Jamii Forums mobile app
Akifa "bilionea " wa kichaga mtafungua thread ya kuonyesha hayo maajabu. Acha Nshomile wajisifu!Wahaya njooni Kilimanjaro muone maajabu huko migombani
Ukimuuliza umegharimu kiasi gani anaweza kusema ni 40m hahahahaKawaida unajua ww mkuu....au umeamua kuanzisha Ligi tu
Mdogo wangu si nitakutukana Bali uwezo wa kufikiri kwako ni mdogo hata yule mwanangu wa chekechea huna hadhi ya kufananishwa nae yaaan kwa uwezo wangu hako kajumba ni kadogo sana si wote wanapenda show off za kifala kama hzo tukiweka za kwetu humu sema za jf zitajaaaa kima mkubwa wewe alafu sinaga muda wa kipumbavu kujadili mambo ya MTU Bali huwa nacomment panapo bidi popoma usiejitambua kabisaMawazo ya kipuuuuzi sana. Kujadili maisha ya watu na wakati ulipo unaogopa hata kuweka mahali unapoishi na kuweka picha na majina yako. Kuweka mawasiliano yako tuuu unaogopa. Upuuuzi wa kusadikika ukiwa nyuma ya keyboards
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila familia na utaratibu wake,Mi najiuliza kama Boss Ruge angekuwa kabila jingine kwa title aliyonayo hivi kweli angeenda kuzikwa uko porini? Au angezikwa Kinondoni kisingizio kwamba baba, mama na watoto wote wako Dar! Apa Kuna kitu cha kujifunza kwa ndugu zetu Nshomile hasa sisi Waha tukiondoka nyumbani tumeondoka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitaamini vp hapo ni bukoba maana hata uchagani kuna migombaAnasema reporter wa Millard ayo kutoka Bukoba,
Pembeni kidogo kwa Ruge Mutahaba, Kuna Jirani ambao wana majumba yanatisha, hii ni nyumba ya Mr Rutabingwa huko Kabale
View attachment 1036216
Kuna na nyingine za vijiji vya huku bukoba
View attachment 1036216View attachment 1036269View attachment 1036270View attachment 1036271View attachment 1036271View attachment 1036272
Duu Acha dharau unalinganisha nyumba za chanika sijui mbagala kuu na rangi tatu slums hizo ni mijumba ya watu vijijini?.Watu wa mikoani mna shida, yaani hizo nyumba zinazojengwa na watu wa kawaida kule Chanika, Bunju, Mbande, Mbagala, n. K mjini ndio za kifahari mikoani
Kwa hiyo huku unamtangazia Nani? Subiri nawe mchaga maarufu akifa ndo uje utoe ushuhuuda wako.kwa sasa Acha watu wajisifie na vya kwao.halafu unavyosema kama vile moshi hatupajui unavyoexagerrate kama vile kuna Rita's tower Tu moshi wakati nyumba za huko ni za kawaida Tu.Wazipeleke uchagani kuzishindanisha ndiyo utapata majibu. Za kawaida sana hizo nyumba. Yaani kawaida mno. Nimepita mikoa mingi Tanzania. Sijaona Mkoa ambao vijijini umeendelea kama Wilaya za Hai, Vunjo, Rombo au intake kabisa kuwa maeneo ya Machame, Marangu, Kirua Vunjo, Kibosho,Uru, Rombo n.k ,. Kwa kifupi wachaga wanaongoza Tanzania mzima ikiwemo huduma za jamii kama maji na umeme.
Nitasema hili kama mtanzania ambaye siyo mchana ila ukweli ni lazima niseme hata kama wengine mtapinga.
kama una kalio njoo muhaya niko hapa, gari na nyumba nskukabidhi tuanzapo uchumbaNdo maana nasema sitakuja kuolewa na mtu masikini kampani zangu zinaanza kuwa za wahaya sasa lol
Mkuu wewe wa kamachumu sehemu gani??Ndiyo wa kamachumu
We ni great haya, ndi wa kamachumu waituMkuu wewe wa kamachumu sehemu gani??
We ni great haya, ndi wa kamachumu waituMkuu wewe wa kamachumu sehemu gani??
Alafu kwenye hiki kijiji hii nyumba ni ya kawaida hata haiwezi kushindana na nyumba kali zilizomo,kuna hadi nyumba za kuishi ni ghorofa ktk hiki kijiji
Nanye ndi wa kamachumu, jirani na MwijageWe ni great haya, ndi wa kamachumu waitu
Wakifika karabagaine kijijini pale kuna magorofa kadhaa, waangalieAlafu kwenye hiki kijiji hii nyumba ni ya kawaida hata haiwezi kushindana na nyumba kali zilizomo,kuna hadi nyumba za kuishi ni ghorofa ktk hiki kijiji