Fred Frank
JF-Expert Member
- May 20, 2016
- 296
- 117
Hivi wa viungo bandia ajira zao hazisumbui mkuu? Nataka niapplyMd1,480,000
Pharmacy 1,215 000
Nurse 980,000
Lab scientist 980,000
Nahitaji kujua watu wa mionzi,viungo bandia,physiotherapy
Hivi wa viungo bandia ajira zao hazisumbui mkuu? Nataka niapplyMd1,480,000
Pharmacy 1,215 000
Nurse 980,000
Lab scientist 980,000
Nahitaji kujua watu wa mionzi,viungo bandia,physiotherapy
Hivi wa viungo bandia ajira zao hazisumbui mkuu? Nataka niapply
Unatumia Jina gani instagram kkDuh kijana una upeo mdogo sana mtu asome siku 35 aitwe mfamasia. Tembelea ukurasa wangu wa insta uone kazi ndigo sana nayofanya kama mfamasia. Kisha mlete huyo wa siku 35 au wa maabara atest zar. Huyo dogo kama kafaulu vizur asome coz anayopenda kuajiliwa si wakat wa hii awamu ya kazi tu. Kujiajil ndo mpango mzima.kama ufaulu hafifu akalime bustan atatoka tu
viungo bandia iko poa sanaHivi wa viungo bandia ajira zao hazisumbui mkuu? Nataka niapply
Iko poa kivipi heb tuelezee kidogo kwa tusioijua lakini kwa nnavyojua hawa wanaodeal na prosthesis na orthosis hawana salary scale hapa tz,na hospital zinazohitaj hawa watu ni chache na tayar zina watu,na kuestablish kitengo cha viungo bandia kwenye hospitals it worth a lot of money..... But akasome kwasababu uongoz wao upo kwenye ufuatiliaji wa changamoto hizi... Best of luckyviungo bandia iko poa sana
wakati tunaangalia ajira tusiangalie ajira za ndani tuu.. tuvuke boda tutoke nje ukisoma hii coz pale kcmc nakuhakikishia ukiwa vizur ata nje utafanya kaz tuu.Iko poa kivipi heb tuelezee kidogo kwa tusioijua lakini kwa nnavyojua hawa wanaodeal na prosthesis na orthosis hawana salary scale hapa tz,na hospital zinazohitaj hawa watu ni chache na tayar zina watu,na kuestablish kitengo cha viungo bandia kwenye hospitals it worth a lot of money..... But akasome kwasababu uongoz wao upo kwenye ufuatiliaji wa changamoto hizi... Best of lucky