Mkuu ni kunawa mikono
Ngo! ngo! ngo! haki elimu!!🤣Which is talking?
We hebu toka nje! Ikimaanisha mtu atoke ndani aende njeHata wazungu wengi tu nao wanaongea broken English
Vp kuhusu kiswahili hakuna broken kiswahili?
Sentensi kama " kunawa maji
"Nasikia harufu,naona kiu" nk
Unadhani sentenßi hizo siyo broke?
😂😂😂😂😂😂I tried youuuu but where - nilijaribu weeeeee lakini wapi
You