Tina
JF-Expert Member
- Jul 9, 2007
- 572
- 579
Habari za kuaminika kutoka BOT kitengo cha banking supervision zinakiri kupokea barua kutoka Nigeria za kumtaka Ayobola arudi/Recalled UBA-HQ kutokana kuvuja kwa mabaya yake na kusababishia UBA TZ kukimbiwa na wafanyakazi takribani wote. Habari za huyu jamaa zimeandikwa sana hapa JF kwa nyakati tofauti